Mowwo
JF-Expert Member
- Aug 15, 2015
- 327
- 232
Wakuu habari,
Kwa mwenye uelewa tusaidiane. Watoto wa shule za primary wamekua wakipewa dawa za meno na mswaki kwa lengo la kuhamasisha usafi wa kinywa. Licha ya nia kua nzuri lakini pamekua na sintofahamu ikidaiwa dawa za meno zinazotolewa zina madhara kwenye upande wa hormones. Wadau mnaopita huko mashuleni hawa watoto wetu wanapewa hizi dawa na miswaki.
Je, kuna usalama wa kiafya?
Kwanini kampeni haikujikita kuhamaisha bila kugawa dawa za kuswakia? Je kama kuna madhara, si hizo bidhaa zilithibitishwa na tbs? Watoto wetu wasije kukosa uwezo kufanya mambo.
Wizara ya elimu na wadau husika chunguzeni, tusije kuharibu watoto wetu.
Pia soma:
Kwa mwenye uelewa tusaidiane. Watoto wa shule za primary wamekua wakipewa dawa za meno na mswaki kwa lengo la kuhamasisha usafi wa kinywa. Licha ya nia kua nzuri lakini pamekua na sintofahamu ikidaiwa dawa za meno zinazotolewa zina madhara kwenye upande wa hormones. Wadau mnaopita huko mashuleni hawa watoto wetu wanapewa hizi dawa na miswaki.
Je, kuna usalama wa kiafya?
Kwanini kampeni haikujikita kuhamaisha bila kugawa dawa za kuswakia? Je kama kuna madhara, si hizo bidhaa zilithibitishwa na tbs? Watoto wetu wasije kukosa uwezo kufanya mambo.
Wizara ya elimu na wadau husika chunguzeni, tusije kuharibu watoto wetu.
Pia soma:
Je, dawa za meno zinazogawiwa mashuleni zinaharibu homoni za watoto wa kiume?
Salaam Kuna audio inasambaa mitandaoni kwamba kuna dawa za meno zinagawiwa Mashuleni ambazo zinaharibu homoni za kiume. Kwamba TBS ilithibitisha. Je, kuna mtu ana uhakika na hizi taarifa au ni Uzushi tu wa mitandaoni. Wizara ya Elimu inajua hiki kitu na Uliruhusu? Msililize huyu anachoongea
www.jamiiforums.com
SONGEA: Wanafunzi waliopatiwa dawa za meno za msaada watakiwa kurudisha mara moja
Baada ya wadau wasiofahamika bado kuwa ni kutoka taasisi ipi kugawa dawa za meno na miswaki kwa shule za.msingi Songea. Leo imetoka taarifa kwa walimu wakuu kuwataka kuwaambia wanafunz hao warudishe vitu hivyo mara moja. Bado haijajulikana zaidi kwann hili limekua hivi hadi sasa.
www.jamiiforums.com