Dabil
JF-Expert Member
- Sep 30, 2021
- 7,376
- 16,539
- Thread starter
- #41
Mkuu kwani we uko mkoa gani huo?Wala sio uongo, sikatai uwepo wa tatizo la umeme ila huku hakuna huo mgao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kwani we uko mkoa gani huo?Wala sio uongo, sikatai uwepo wa tatizo la umeme ila huku hakuna huo mgao.
Huduma ya umeme nchini kua chini ya kampuni binafsi itakua sawa na ukoloni. Kuna hujuma kubwa tanesco ili kuhalalisha ubinafsishaji wake kitu wananchi hawatakubali. Mbona miaka mitano ya uongozi wa magufuli hali ilikua bora na hata kuwepo mpango wa bwawa la mwalimu nyerere. Tanesco ikibinafsishwa ni nani hasa ataweza kulipia uwekezaji mkubwa wa umma uliyokwisha fanyika na kisha aweze kufanya biashara ya faida. Kinachotakiwa ni usimamizi wenye tija wa serikali kwani umeme ni huduma kuwezesha sekta zingine kushamiri na kuleta maendeleo. Wakiwekwa wapigaji kusimamia nishati ndio inakua shida kwa hivyo ni kuhakikisha wapigaji wako mbali na wanadhibitiwa sekta zote.TANESCO ni moja ya sekta mbovu hii nchi haijawahi kutokea,utaifananisha na ipi Tanzania hii isiwe ya mwisho kwa huduma? Huwezi kufananisha na mawasiliano,barabara, afya ,elimu hata bandari, ni mbovu kuliko na ya mwisho.
Kukiwa hamna mvua wanasema mabwawa yamekauka,,,kukiwa na mvua nayo matatizo mda wote wao hawana solution miaka nenda rudi, kila Rais anamaliza awamu yake TANESCO ni vile vile haijawahi kubadilika au kuleta unafuu, mawaziri wa nishati wabadilishwa lakini hamna mabadiliko.
Kama BANDARI ilibinafsishwa basi na TANESCO ifuate, hatuna cha kupoteza maana hawajawahi kutoa huduma ya kuaminika,ni ukweli usiopingika serikali imeshindwa kuboresha TANESCO ili umeme uwepo mda wote
Haya ndio mawazo sasaHii haina haja ya kuibinafsisha kwa sasa, ikatwe tu kila mkoa uwe na shirika lake la umeme.
Timua timua ilifaa iandamane na adhabu. Hiyo ni hamisha hamisha inayowapa watu kula
Ni kipindi cha miaka mitatu imepita tangu TANESCO itoke kwenye shirika lisilojiendesha kwa faida mpaka shirika lenye kujiendesha kwa faida.TANESCO ni moja ya sekta mbovu hii nchi haijawahi kutokea,utaifananisha na ipi Tanzania hii isiwe ya mwisho kwa huduma? Huwezi kufananisha na mawasiliano,barabara, afya ,elimu hata bandari, ni mbovu kuliko na ya mwisho.
Kukiwa hamna mvua wanasema mabwawa yamekauka,,,kukiwa na mvua nayo matatizo mda wote wao hawana solution miaka nenda rudi, kila Rais anamaliza awamu yake TANESCO ni vile vile haijawahi kubadilika au kuleta unafuu, mawaziri wa nishati wabadilishwa lakini hamna mabadiliko.
Kama BANDARI ilibinafsishwa basi na TANESCO ifuate, hatuna cha kupoteza maana hawajawahi kutoa huduma ya kuaminika,ni ukweli usiopingika serikali imeshindwa kuboresha TANESCO ili umeme uwepo mda wote
Mabwawa yatakuwa yanauzia umeme Mikoa
wabinafsishe ccm, sio tanesco. Shida ya tanesco ni wanailea hawa wanasiasa wachache sana waliopo madarakani. Mfano awamu iliopita angalau walitulia, tuliweza kufunga umeme kwa sh.27,000/= lakini sasa visingizio kibao na mvua zinanyesha/umeme ghariTANESCO ni moja ya sekta mbovu hii nchi haijawahi kutokea,utaifananisha na ipi Tanzania hii isiwe ya mwisho kwa huduma? Huwezi kufananisha na mawasiliano,barabara, afya ,elimu hata bandari, ni mbovu kuliko na ya mwisho.
Kukiwa hamna mvua wanasema mabwawa yamekauka,,,kukiwa na mvua nayo matatizo mda wote wao hawana solution miaka nenda rudi, kila Rais anamaliza awamu yake TANESCO ni vile vile haijawahi kubadilika au kuleta unafuu, mawaziri wa nishati wabadilishwa lakini hamna mabadiliko.
Kama BANDARI ilibinafsishwa basi na TANESCO ifuate, hatuna cha kupoteza maana hawajawahi kutoa huduma ya kuaminika,ni ukweli usiopingika serikali imeshindwa kuboresha TANESCO ili umeme uwepo mda wote
Tutafanyaje kukiwa hamna mvua wanasema hamna maji kuna ukame,kukiwa na mvua wanasema miundo mbinu imeharibiwa, inshort kuwa na mvua na kusiwe na mvua hamna umeme wa maana.wabinagsishe ccm, sio tanesco. Shida ya tanesco ni wanailea hawa wanasiasa wacjacje sana waliopo madarakani. Mfano awamu iliopit angalau walitulia, lakini sasa visingizio kibao na mvia zinanyrsha