Mswada upelekwe bungeni TANESCO ibinafsishwe tu

Mswada upelekwe bungeni TANESCO ibinafsishwe tu

Imibinafsishwa kiboya - kama ilivyo kawaida kwa binafsishaji - tunapata Moto zaidi ya huu. Waulize Waganda wanachopitia, wanadhukuru mkataba unafikia ukingoni
 
Upungufu wa umeme hausababishwi na technical issue, changamoto hapa ni siasa chafu
Sasa mkuu kama wakati wa ukame wanasema kina cha maji kipo chini, wakati wa mvua nako hamna umeme sasa hawa watu wana solution kweli kama siyo siasa chafu,imagine miaka nenda rudi marais na mawaziri awamu zinaisha hakuna unafuu wa umeme

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Imibinafsishwa kiboya - kama ilivyo kawaida kwa binafsishaji - tunapata Moto zaidi ya huu. Waulize Waganda wanachopitia, wanadhukuru mkataba unafikia ukingoni
Sawa kama haitabinafsishwa je huoni hadi hapa TANESCO wameshafeli?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa mkuu kama wakati wa ukame wanasema kina cha maji kipo chini, wakati wa mvua nako hamna umeme sasa hawa watu wana solution kweli kama siyo siasa chafu,imagine miaka nenda rudi marais na mawaziri awamu zinaisha hakuna unafuu wa umeme

Sent using Jamii Forums mobile app
Mambo yapo wazi ni siasa chafu zinafanyika na hazitaisha, kwa watanzania walivo vichwa panzi watawarudisha viongozi hawa haya yatarudiwa na hamna kitu tutafanya..... ndo maana mda mwingine inabidi uangalie familia yako wanakula vizuri, watoto wanasoma mazingira mazuri na una akiba yako mengn yaache..... Watanzania tunajihujumu sana
 
Mambo yapo wazi ni siasa chafu zinafanyika na hazitaisha, kwa watanzania walivo vichwa panzi watawarudisha viongozi hawa haya yatarudiwa na hamna kitu tutafanya..... ndo maana mda mwingine inabidi uangalie familia yako wanakula vizuri, watoto wanasoma mazingira mazuri na una akiba yako mengn yaache..... Watanzania tunajihujumu sana
Mheshimiwa Rais ameivunja bodi ya TANESCO, naona kama alichungulia JF

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa tupo gizani inauma jamani na hili joto EEE mwenyezi Mungu iguse Tanzania sahizi ishakuwa tanzagiza
 
Ngoja nizime data kasimu kangu muda wowote napotea hewani
 
Sanaa tu hzo na tiara za miaka nenda rudi
Kesho mambo ni yale yale, unavunja bodi halafu mkurungezi wa bodi uliyovunja unampeleka kuwa balozi nje ya nchi, mtu aliyeshindwa kuongoza Taasisi unamhamisha na kumpa kazi nyingine badala ya kuwekwa pembeni,wangetia nidhamu na umakini mtu akiharibu anatakiwa akae pembeni kabisa siyo kumhamisha kitengo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kesho mambo ni yale yale, unavunja bodi halafu mkurungezi wa bodi uliyovunja unampeleka kuwa balozi nje ya nchi, mtu aliyeshindwa kuongoza Taasisi unamhamisha na kumpa kazi nyingine badala ya kuwekwa pembeni,wangetia nidhamu na umakini mtu akiharibu anatakiwa akae pembeni kabisa siyo kumhamisha kitengo

Sent using Jamii Forums mobile app
Macho mlegezo hamna mtu pale nlimfurahia mwanzon ila nlikuja kuona ni mtu dhaifu kuwahi kumuona kwenye maisha yangu
 
Hizo shida za umeme,afya,elimu,lishe,miundombinu wanazisababisha hao waliopo kwenye mfumo kwa masilahi yao binafsi ama kwa kutokua na uwezo wa kiutendaji.Lakini kuendelea kwa matatizo hayo tunakutaka sisi wananchi wenyewe.Hatupo siriazi na kuondokana na matatizo yetu yanayotukabili badala yake tumeruhusu kuchezewa akili na wachache.
 
Tanesco inazalisha umeme kidogo hiyo ndo changamoto. Hata rais awe nani au waziri wa nishati apewe nani bila vyanzo vipya vya kufua umeme tabu ipo pale pale. Tunawaambia kila siku hamsikii.
 
20230929_221501.jpg
 
Back
Top Bottom