KAWAWA NDIYE MUUAJI WA SOKOINE, AULIZWE HUKO JEHANAMU : Ukweli uliopo na unaofamika kwa maafisa wengi wa serikali wa kipindi hicho ambao umefichwa ni kwamba Kawawa ndiye aliye muua Sokoine, baada ya mwl kutangaza kwamba ataondoka madarakani mwaka huo 1984 , wakati huo Sokoine akiwa waziri mkuu na Kawawa alikuwa makamu wa raisi kulikuwa na kila dalili za mwl kutaka kumwachia kiti cha uraisi Sokoine . Hapo ndipo Kawawa alipoamua kumtoa mwenzake uhai kwa kutumia matunguli aliyoenda kuyachukua Lindi ( kilwa/ Liwale), akidhani kwa kufanya hivyo nchi ataachiwa yeye. Wakati kikao cha bunge kinakaribia kwisha wiki ya mwisho Kawawa alimwomba ruhusa mwl ya kwenda kwao Lindi akisingizia amepata udhuru kumbe alikuwa anaenda kwa waganga wake. Wafuatiliaji wa mambo wakifuatilia wiki ambayo Sokoine alikufa Kawawa alikuwa Lindi waangalie hata data za iliyokuwa ofisi yake. Na siku ambayo sokoine anapata ajali Kawawa alikuwa njiani kutoka Lindi kuja dar. Alifanya hivyo hasa kwa maelekezo ya waganga wake. Waganga wake walimwelekeza kawawa asafiri siku hiyo ambayo bunge lilikuwa linaisha na dereva wa kawawa aliambiwa kwamba akiona bata njiani amgonge na walipoanza safari hawakutembea umbali mrefu sana wakakutana na bata na dereva akafanya kama alivyoelekezwa , muda ule ule ambao bata anagongwa na muda huo huo ndio ambao sokoine anapata ajali . Mwl alifahamu mchezo huo baada ya kuambiwa na wazee mchezo mzima na hicho ndicho kilichomfanya mwl amwogope zaidi kawawa ndio maana mwl aliruhusu aliyekuwa dereva wa Sokoine kutosumbuliwa mahakamani. Aliyekuwa dereva wa Kawawa alikuwa na siri nyingi zilizokuwa zinahusu kifo cha Sokoine pamoja na safari nzima ya Kawawa kwenda liwale , na taarifa zinasema kwamba dereva hakufanikiwa kumkanyaga tairi bata hivyo huyo hakufa palepale walisimamisha gari na kumuingiza bata ndani ya gari , kilichoendelea huko anakijua yeye kawawa na ifahamike kwamba Sokoine hakufia eneo la ajali ni mazingaombwe tu ya kawawa yaliyoendelea baada ya hiyo ajali na ndiyo maana kikao cha bunge kilichofuata baada ya ajali wapo wabunge waliodai wamemuona Sokoine jioni viunga vya bunge , ulikuwa mzimu tu. huo mchezo uliendelea hadi watani wa kawawa walipomweleza ukweli haache mchezo huo. Elimu dunia ndiyo inayowamaliza wanasiasa wengi. Kumbuka tukio la Akukwete kupata ajari ambapo shehe mmoja wa Tunduru aliahidi wakati wa kampeni kwamba akipita Akukwete atachoma vitabu vyake vya ushehe moto, na mara akukwete akashinda na watu walipomfuata shekhe huyo achome vitabu vyake alikataa lakini baada ya kupita kama miwili mbele ghafula tu asubuhi huyo shekhe aliita watu na kuwaambia kwamba anatekeleza ahadi ambayo aliahidi akachoma vitabu vyake moto vyote, watu walishangaa kwani ilish apita miaka miwili tangu aahidi ahadi yake lakini kilichowashangaza wengi ni mfuatano wa matukio asubuhi shekhe anachoma vitabu moto jioni inatangazwa akukwete kapata ajari ambayo ilipelekea kifo chake. Hicho ndicho kinachofanya watu wasiwaamini wanasiasa lakini wanasiasa wenyewe kwa wenyewe wasiaminiane .