IKUNGURU IJIRU CHUKU
JF-Expert Member
- Feb 27, 2021
- 484
- 541
kama sdijakuelewa vile,,,kwani kamusi inasemaje.....na mnukuu mchangia hapo juuu alitoa viashiria vya neno msomi,,,,,Atakuwa msomi endapo atakuwa na ujuzi wa fani fulani, haijalishi ana cheti au hana.
Usomi una nasibishwa na fani fulani, usomi siyo kujua kusoma tu na kuandika, la hasha ingekuwa hivyo sote sisi tungekuwa wasomi, bali usomi ni kwa fani fulani. Endapo mtu huyo wa darasa la saba akawa amejifunza fani fulani na wasomi wakampitisha kwamba mti huyo ni mjuzi basi tunasema na sisi huyo ni msomi.
msomi , pl wasomi { English: intellectual }
noun
msomi , pl wasomi { English: learned person , pl learned people }
noun
msomi , pl wasomi { English: lecturer , pl lecturers } [derived: soma V]
noun
msomi , pl wasomi { English: reader } [derived: soma V]
noun ,
msomi , pl wasomi { English: scholar , pl scholars } [derived: Swahili -soma]
noun
5 distinct results returned (chanzo:THE KAMUSI PROJECT)