Gai da seboga
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 532
- 1,036
Kwahyo kuanzia la saba tunastahili kumuita msomi??Hata drs la saba ni msomi.
Kwani ni kiwango gani cha pesa mtu anakua nazo hadi tunasema fulani ana pesa au fulani hana pesa. No floor and no ceiling. Hata wewe hapo tunakuona una pesa na wewe ni msomi.