Msomi ni nani

Msomi ni nani

Hata drs la saba ni msomi.
Kwani ni kiwango gani cha pesa mtu anakua nazo hadi tunasema fulani ana pesa au fulani hana pesa. No floor and no ceiling. Hata wewe hapo tunakuona una pesa na wewe ni msomi.
Kwahyo kuanzia la saba tunastahili kumuita msomi??
 
Inatokana na unataka 'kujimwambafai' kwa mtu wa level gani...

Kama upo la 7A unaweza kumwambia mwenzako wa la 7C kwamba wewe ni msomi..
Ukiacha sasa kuvimbaa kwa kumtajia mkondo unaosoma... Rasmi n kiwango kipi tutambue kuwa n msomi? La saba au??
 
You are right. Umesahau juzi juzi tu kuna jamaa ex la saba ametengeneza umeme huko Iringa na Njombe mpaka mashine za kusaga nafaka zinasaga. Yule kama si msomi ni nini?
Sio kwamb amebarikiwa akili nje ya mfumo wa kielimu..
 
Habari wakuu.

Ningependa kufahamu ni kiwango gani cha elimu mtu akifikia anastahili kuitwa msomi?

Je, akijua kusoma na kuandika anastahili kuitwa msomi? Au akimaliza elimu ya msingi anafaa kuitwa msomi? Au kuitwa msomi kunaanzia ngazi ya elimu ya sekondari (O-level & A-level)? Au ni ngazi ya Astashahada, Stashahada, Shahada, Uzamili, Uzamivu hadi Uprofessa?

~Gai da seboga
Msomi ni yule mwenye shahada za elimu ya chuo kikuu kuanzia tatu. Mfano Dr Mwakyembe. Japo yeye ni msomi wa kukariri maandishi.
 
Msomi ni yule mwenye shahada za elimu ya chuo kikuu kuanzia tatu. Mfano Dr Mwakyembe. Japo yeye ni msomi wa kukariri maandishi.
Dr. 4 mangoes ameonesha usomi wake kwa lipi? Lakusema tusifunge ndoa hadi vyeti vya kuzaliwa au lakusema hastahili kukosolewa. Amesema amefundisha vyuo mbali mbali lkn hajasema ametoa wanafunzi wangapi vinara. Kwa hiyo Dr. 4mangoes sio msomi
 
Back
Top Bottom