Unatushauri nini kuhusu mitaala ya elimu Tanzania?Mwenye ujuzi ndio bora
La pili Bwewe una kiwango gani cha elimu
Ili uitwe msomi inatakiwa uwe na angalau degrees nne. In Mwakyembe's voice.
ukishajua kuhesbu,kusoma na kuandika halafu ujue kuongea na kiingereza vizuriHabar wakuu....
Ningependa kufahamu n kiwango gani cha elimu mtu akifikia anastahili kuitwa msomi??
Je akijua kusoma na kuandika anastahili kuitwa msomi? Au akimaliza elimu ya msingi anafaa kuitwa msomi? Au kuitwa msomi kunaanzia ngazi ya elimu ya sekondari (O'level & A'level)?? Au n ngazi ya astashahada, stashahada, shahada, uzamili, uzamivu hadi uproffesa??
~Gai da seboga
Shukraan kwa mchango wako mkuuKiukweli kwa tafsiri halisi msomi n mtu yeyote mwenye uwezo wa kusoma bila kujali kiwango chake Cha elimu aliyonayo.....
Lkn kwa maana ya mtaani na watz wengi msomi humaanisha mtu yeyote mwenye elimu ya chuo hasa kuanzia degree moja nakuendelea.