Msomi ni nani

Msomi ni nani

Mmh..kwa sifa hizo basi msomi ni Mungu pekee[emoji23][emoji23]
 
Msomi akiambiwa ana madhaifu anaita waandishi wa habari kupinga...hakuna wasomi hapo Mkuu...
 
Tafadhali toa maoni yako.
Je ni kweli kuwa msomi mwenye vyeti ni bora kuliko mjuzi asiye na vyeti? Yaani elimu mtaani vs elimu ya darasani ipi bora.
Mfano wahandisi na vyeti vyao ni hodari kuliko mafundi gereji waliosomea gereji.
Karibu
 
Dunia ya sasa hatiangalii ni vyeti vingap ulivyonavyo, UNAWEZA KUFANYA NN?? Ukijibu hilo swali kutoka ndani ya moyo wako na siyo kichwani kwako hata ajira hutakuwa na muda nayo!

Hii ndo sababu asilimia kubwa ya watu wanakuwa na stress kila wakikumbuka kazi wanazofanya (Ajira zao) Mkuu fanya juu chini jitengenezee ujuzi ambao una uhakika nao kuwa unaupenda kutoka ndani na hao waajiri watakutafuta na siyo wewe kuwatafuta.
Siyo wote walionielewa.
 
Habari wakuu.

Ningependa kufahamu ni kiwango gani cha elimu mtu akifikia anastahili kuitwa msomi?

Je, akijua kusoma na kuandika anastahili kuitwa msomi? Au akimaliza elimu ya msingi anafaa kuitwa msomi? Au kuitwa msomi kunaanzia ngazi ya elimu ya sekondari (O-level & A-level)? Au ni ngazi ya Astashahada, Stashahada, Shahada, Uzamili, Uzamivu hadi Uprofessa?

~Gai da seboga
 
Inatokana na unataka 'kujimwambafai' kwa mtu wa level gani...

Kama upo la 7A unaweza kumwambia mwenzako wa la 7C kwamba wewe ni msomi..
 
Hata drs la saba ni msomi.
Kwani ni kiwango gani cha pesa mtu anakua nazo hadi tunasema fulani ana pesa au fulani hana pesa. No floor and no ceiling. Hata wewe hapo tunakuona una pesa na wewe ni msomi.
 
Kiukweli kwa tafsiri halisi msomi n mtu yeyote mwenye uwezo wa kusoma bila kujali kiwango chake Cha elimu aliyonayo.....
Lkn kwa maana ya mtaani na watz wengi msomi humaanisha mtu yeyote mwenye elimu ya chuo hasa kuanzia degree moja nakuendelea.
 
Habar wakuu....

Ningependa kufahamu n kiwango gani cha elimu mtu akifikia anastahili kuitwa msomi??

Je akijua kusoma na kuandika anastahili kuitwa msomi? Au akimaliza elimu ya msingi anafaa kuitwa msomi? Au kuitwa msomi kunaanzia ngazi ya elimu ya sekondari (O'level & A'level)?? Au n ngazi ya astashahada, stashahada, shahada, uzamili, uzamivu hadi uproffesa??





~Gai da seboga
ukishajua kuhesbu,kusoma na kuandika halafu ujue kuongea na kiingereza vizuri
 
Back
Top Bottom