Msomi ni nani

Msomi ni nani

SASA BASI KAMA KUSOMA MPAKA LA SABA SIO MSOMI,,,BASI MSOMI NIYULE ALIYE NA VETI VYA TAALUMA NA WALA SIO YULE AMBAYE KAFIKA CHUO NA AKASOMA LAKINI HAKUPATA CHETI CHA TAALUMA.
Kuwa na vyeti siyo usomi, usomi ni kile ulichobaki nacho. Wapo wasomi na wanazuoni kibao hawana vyeti. Hili nimelifafanua huko nyuma.
 
Jamani mimi na tatizo na maana ya mtu msomi, mtu kuitwa msomi anatakiwa awe na kiwango gani cha elimu? maana kijijini kwetu ukijua kusoma na kuandika tu wewe tayari msomi.

=====
Ukiachana na mimi niitwae Emmanuel Kasomi msomi ni mkubwa zaidi yangu kwa vile mi mdogo wananiita kasomi
 
KAKA MBONA HAPA UMECHANGACHA MSOMI NA MTAALUMA? TONGOA KWA MAKINI,,,DADAFURA KATI YA MSOMI NA MTAALUMA.
Mtaakuma anakuwa vipi si msomi ? Msomi ni jina lenye kuainisha sifa ya umahiri katika jambo fulani ni sawa na mtaalamu wa jambo fulani, mtu huwezi kuwa mtaalamu bila kusoma yaani kufundishwa na kufanyia kazi ulichokisoma. Kujua kusoma na kuandika huitwi msomi.
 
Neno msomi lina maana zaidi ya mmoja,
1.msomi kama mtu aliyesoma shule, yaani aliyesoma Hadi hatua fulani ya masomo ya elimu rasmi.
2.Msomi ni mtu yule aliyesoma mpaka hatua za juu za elimu rasmi hasa kuanzia hatua ya shahada, uzamiri mpaka udaktari wa falsafa na uprofesa .
3 .Msomi kama mtu aliyesoma elimu rasmi na ana ujuzi wa aina mbalimbali mfano uchumi,siasa, utamaduni, michezo, jamii, jiografia , sayansi na hata biashara,
NB:tofauti ya msomi wa maana ya kwanza na ya tatu ni kwamba Msomi wa tatu anakuwa ni (multi-cultural, inter displinary)anakuwa mtu aliyejenga shule halafu ana ujuzi wa mambo mengi Sana. Msomi wa maana ya kwanza anakuwa tu na elimu fulani lakini inajikita hasa kwenye kukariri, ila vyeti Ndio vitaonesha usomi wake
 
Neno msomi lina maana zaidi ya mmoja,
1.msomi kama mtu aliyesoma shule, yaani aliyesoma Hadi hatua fulani ya masomo ya elimu rasmi.
2.Msomi ni mtu yule aliyesoma mpaka hatua za juu za elimu rasmi hasa kuanzia hatua ya shahada, uzamiri mpaka udaktari wa falsafa na uprofesa .
3 .Msomi kama mtu aliyesoma elimu rasmi na ana ujuzi wa aina mbalimbali mfano uchumi,siasa, utamaduni, michezo, jamii, jiografia , sayansi na hata biashara,
NB:tofauti ya msomi wa maana ya kwanza na ya tatu ni kwamba Msomi wa tatu anakuwa ni (multi-cultural, inter displinary)anakuwa mtu aliyejenga shule halafu ana ujuzi wa mambo mengi Sana. Msomi wa maana ya kwanza anakuwa tu na elimu fulani lakini inajikita hasa kwenye kukariri, ila vyeti Ndio vitaonesha usomi wake
Nimekupata
 
Back
Top Bottom