Msithubutu kuua raia hata mmoja 9/12

Msithubutu kuua raia hata mmoja 9/12

Griss

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2025
Posts
337
Reaction score
1,945
Yanii tarehe 9/12 Polisi uwe KMKM uwe Polisi Tanzania usithubutu kuua Mtanganyika hata mmoja lasivyo nawaambia.

Visiwa vitageuzwa majivu

Nimeambiwa, niwaambie hii taarifa maandamano yajayo msithubutu kuua mtanganyika hata mmoja waacheni watu waandamane kwa amani.

Lasivyo mtashangazwa shauri yenu KMKM mtalipa gharama kubwa sana mkiua hata Mtanganyika yeyote tena.
 
Back
Top Bottom