macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 28,313
- 57,098
Nimekuelewa mkuu. Hapa key word ni ''kupoteza muda'' au ''killing time'' kama wanavyosema waingereza. Kwangu mimi kupoteza muda ni ku-engage kwenye activities ili muda uende, hasa hasa mtu anapokuwa yupo free na anataka muda uende kwa haraka(kwa sababu kukaa bila ya kufanya kitu mtu anaboreka). Ukichukulia neno ''kupoteza muda'' kama ni kukaa bila kufanya chochote, sidhani kama ni sahihi kwa sababu neno linatumika kama ''idiomatic expression'' yaani maneno yake hayamaanishi tendo linalotendeka. Kwa mfano ''kutafuta kipande cha mkate''. Hii inamaanisha kutafuta kipato na siyo mkate wenyewe.Mkuu haya mambo unayoyafanya sio kupoteza muda
I see!Watu wengine kula kulala mkuu...
Very nice.Nimekuelewa mkuu. Hapa key word ni ''kupoteza muda'' au ''killing time'' kama wanavyosema waingereza. Kwangu mimi kupoteza muda ni ku-engage kwenye activities ili muda uende, hasa hasa mtu anapokuwa yupo free na anataka muda uende kwa haraka(kwa sababu kukaa bila ya kufanya kitu mtu anaboreka). Ukichukulia neno ''kupoteza muda'' kama ni kukaa bila kufanya chochote, sidhani kama ni sahihi kwa sababu neno linatumika kama ''idiomatic expression'' yaani maneno yake hayamaanishi tendo linalotendeka. Kwa mfano ''kutafuta kipande cha mkate''. Hii inamaanisha kutafuta kipato na siyo mkate wenyewe.
Asante mkuu.Very nice.
Ndo mambo yetuMpira na stori za uwongo za wachawi.
Napenda mpira na starehe za kwenye kahawa, idara ya uteuzi zipo wapiKwa miaka mingi, bar ndio imekua sehemu yangu ya kupotezea muda pale ambapo hakuna mpira, sijisomei n.k! Kwa miezi kadhaa niliamua kuacha pombe, nikajikuta nikiwa free kuua muda, nikawa naenda kwenye kahawa. Jana ndio niliamua sintokanyaga tena kijiweni, mada zisizo na maana!
Nyakati ambazo unaamka, huna cha kufanya. Msiotumia pombe, je mnapotezea wapi muda?
Huna kazi yoyote ya kukuingizia kipato?Kwa miaka mingi, bar ndio imekua sehemu yangu ya kupotezea muda pale ambapo hakuna mpira, sijisomei n.k! Kwa miezi kadhaa niliamua kuacha pombe, nikajikuta nikiwa free kuua muda, nikawa naenda kwenye kahawa. Jana ndio niliamua sintokanyaga tena kijiweni, mada zisizo na maana!
Nyakati ambazo unaamka, huna cha kufanya. Msiotumia pombe, je mnapotezea wapi muda?
Alafu kwa maeneo kama ya Kigoma, ukionekana unajua mambo mengi wanakuchukia automaticallyHalafu hakuna cha maana pale zaidi ya kujadili mpira tu
Aisee Mimi ni mtu wa tiziKwa miaka mingi, bar ndio imekua sehemu yangu ya kupotezea muda pale ambapo hakuna mpira, sijisomei n.k! Kwa miezi kadhaa niliamua kuacha pombe, nikajikuta nikiwa free kuua muda, nikawa naenda kwenye kahawa. Jana ndio niliamua sintokanyaga tena kijiweni, mada zisizo na maana!
Nyakati ambazo unaamka, huna cha kufanya. Msiotumia pombe, je mnapotezea wapi muda?
Kwann upoteze muda mzee, wakati wengine muda tunautafuta. Ingekuwa kuna kuuziana muda, tungekuomba utuuzie wako.Kwa miaka mingi, bar ndio imekua sehemu yangu ya kupotezea muda pale ambapo hakuna mpira, sijisomei n.k! Kwa miezi kadhaa niliamua kuacha pombe, nikajikuta nikiwa free kuua muda, nikawa naenda kwenye kahawa. Jana ndio niliamua sintokanyaga tena kijiweni, mada zisizo na maana!
Nyakati ambazo unaamka, huna cha kufanya. Msiotumia pombe, je mnapotezea wapi muda?
well put.Nimekuelewa mkuu. Hapa key word ni ''kupoteza muda'' au ''killing time'' kama wanavyosema waingereza. Kwangu mimi kupoteza muda ni ku-engage kwenye activities ili muda uende, hasa hasa mtu anapokuwa yupo free na anataka muda uende kwa haraka(kwa sababu kukaa bila ya kufanya kitu mtu anaboreka). Ukichukulia neno ''kupoteza muda'' kama ni kukaa bila kufanya chochote, sidhani kama ni sahihi kwa sababu neno linatumika kama ''idiomatic expression'' yaani maneno yake hayamaanishi tendo linalotendeka. Kwa mfano ''kutafuta kipande cha mkate''. Hii inamaanisha kutafuta kipato na siyo mkate wenyewe.
Hatupotezi mudaKwa miaka mingi, bar ndio imekua sehemu yangu ya kupotezea muda pale ambapo hakuna mpira, sijisomei n.k! Kwa miezi kadhaa niliamua kuacha pombe, nikajikuta nikiwa free kuua muda, nikawa naenda kwenye kahawa. Jana ndio niliamua sintokanyaga tena kijiweni, mada zisizo na maana!
Nyakati ambazo unaamka, huna cha kufanya. Msiotumia pombe, je mnapotezea wapi muda?