MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 31,654
- 48,430
Hili hapa ni agano la HAMAS, ambalo linasema uislamu utaifuta Israel, kwa kifupi HAMAS hawana haja na maelewano au kuishi pamoja na Wayahudi kwa amani au hata ujirani kwa amani ila kuwafuta Wayahudi kama ambavyo wanaamini dini yao imewaagiza.
Hivyo kwa asiye muislamu na unasema unawaunga mikono, tulia ujiulize maswali.
============================
Hivyo kwa asiye muislamu na unasema unawaunga mikono, tulia ujiulize maswali.
============================