Ukwaju
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 13,370
- 11,091
ukague na wire za plug, usije zimwagia majiKama unauzoefu wa magari, naona ni bora ukague gari mwenyewe, tena uliendeshe umbali fulani kwenye lami na barabara mbovu...Hawa mafundi wetu hawa..
kiujumla magari yanaangaliwa make yake km ni toleo la 2004 hadi 2006 yatafanana kinachobaki ni mileage ikivuka 100.000 kaangalie Body
lkn kusema hili No DZZ limeingia leo Nchini ukaacha No c maumivu utayapata hata ukitest kilomita 10 km mileage ni 200000 jiandae na engine ingene kwani timing gear/belt bearing diff tie-rod vyote vimechoka