we acha tu, katoto hakalali macho makavuu..eeehhh kachanga kakupiga ban....... King'asti naye yupo huko.......
we acha tu, katoto hakalali macho makavuu..
Huyo King'asti hajatulia nashangaa kapataje access ya kuperuzi hiyo makitu wakati hata bado binti mbichi hebu ngoja nimchungulie ole wake nimuone hapo chini....
King'asti nipe heshima yangu tafwazar.kwani mshua, @blaki woman ni gelofrendi wako? Mbona anatuchonganisha? Mie navaa niende sunday skuli afu leo kuna kusafisha nyumba mpya ya mapadre ntachelewa kurudi.
(weeh endelea kupiga puli nguvu zenyewe za kupulizia kwa ungo, na maza namuona anazidi kiwa kijana. Shauri yako!)
King'asti nipe heshima yangu tafwazar.kwani mshua, @blaki woman ni gelofrendi wako? Mbona anatuchonganisha? Mie navaa niende sunday skuli afu leo kuna kusafisha nyumba mpya ya mapadre ntachelewa kurudi.
(weeh endelea kupiga puli nguvu zenyewe za kupulizia kwa ungo, na maza namuona anazidi kiwa kijana. Shauri yako!)
hata mie nimehamia jukwaa la matangazo kwa muda
Unatangaza bidhaa gani..!!??
namtafutia Bishanga mkopo
namtafutia Bishanga mkopo
Njooni kwangu niwape mpipa! Mkopo ataumaliza mapema sana!
Heee...!!! atakubali huo mkopo ukipatikana kwa mwanaume mwenzie!???