Kwa hiyo kipi cha ajabu hapo? Anajua jengo zima linabeba tani ngapi hapo? Maana nondo hizo ni kama zaidi kidogo ya 50,000pcs au tani 600 kasoro kidogo!Kwa lugha rahisi ni milioni elfu moja.
Martin kupitia ukurasa wake wa Twitter (X) anaandika
Hili ni tatizo la kununua bidhaa mtandaoni. Unakuta bidhaa ya elfu ishirini, mtandaoni wanasema ni laki moja. Serikali imenunua nondo mtandaoni, wamejenga msingi wa ghorofa moja tu kwa shilingi bilioni moja. Kwa lugha rahisi, milioni elfu moja. Hii nchi pesa ipo bablai.
View attachment 2945423
=====
Ujenzi wa msingi wa Ikulu ya Chamwino Dodoma ulitumia nondo zenye thamani ya shilingi Bilioni 1 kutokana na mahitaji ya ujenzi wa jengo imara ambalo litaduma karne na karne" - Meja Jenerali Mbugi
Wakati mwingine wapinzani wanaonekana kama mapoyoyo fulani hivi! Hivi linajua gharama za ujenzi hili?Nchi hii kila kitu kinatiliwa mashaka, nani siyo mwizi nchi hii.
Ni kama nimeelewa hoja yako, Hakika kipindi cha JPM , "viwavijeshi " walipata tabu kujichotea, ila si kweli kuwa walikuwa hawachoti.Jengo kubwa kama hilo lenye jina zito kutumia msingi wa 1B
Kwa hawa viwavijeshi ingetumika 1 T
Ni mtazamo wako haina maana uko sahihi..hatukupaswa kujenga Ikulu mpya.
..kujenga makao makuu mapya Dodoma ni kuchezea kodi za wananchi maskini.
Nchi imejaa majangili tupuKwa lugha rahisi ni milioni elfu moja.
Martin kupitia ukurasa wake wa Twitter (X) anaandika
Hili ni tatizo la kununua bidhaa mtandaoni. Unakuta bidhaa ya elfu ishirini, mtandaoni wanasema ni laki moja. Serikali imenunua nondo mtandaoni, wamejenga msingi wa ghorofa moja tu kwa shilingi bilioni moja. Kwa lugha rahisi, milioni elfu moja. Hii nchi pesa ipo bablai.
View attachment 2945423
=====
Ujenzi wa msingi wa Ikulu ya Chamwino Dodoma ulitumia nondo zenye thamani ya shilingi Bilioni 1 kutokana na mahitaji ya ujenzi wa jengo imara ambalo litaduma karne na karne" - Meja Jenerali Mbugi
Hakuna loloteKawaida sana, tena hizo ndogo, hapo lazima kuna mahandaki yenye zege la unene wa kuhimili makombora mazito, pia lazima kuna underground (njia za chini kwa chini) za kuondoka kama kuna dharura, na inaweza kuwa na urefu wa zaidi ya kilometa moja, na ni njia zaidi ya moja
Naunga mkono hojaHao ndio wazalendo tunaowataka watanzania.kwa maana hiyo msingi no imara siyo hivi vishule uchwara vinavyojenngwa na huyu maza
Hakuna shida kwa ikulu lazima ubora uzingatiwe..Kwa lugha rahisi ni milioni elfu moja.
Martin kupitia ukurasa wake wa Twitter (X) anaandika
Hili ni tatizo la kununua bidhaa mtandaoni. Unakuta bidhaa ya elfu ishirini, mtandaoni wanasema ni laki moja. Serikali imenunua nondo mtandaoni, wamejenga msingi wa ghorofa moja tu kwa shilingi bilioni moja. Kwa lugha rahisi, milioni elfu moja. Hii nchi pesa ipo bablai.
View attachment 2945423
=====
Ujenzi wa msingi wa Ikulu ya Chamwino Dodoma ulitumia nondo zenye thamani ya shilingi Bilioni 1 kutokana na mahitaji ya ujenzi wa jengo imara ambalo litaduma karne na karne" - Meja Jenerali Mbugi
Nadhani hakuna taifa lina watu wengi wanaopenda sifa za kipuuzi na kushadadia mambo ya kijinga kama TanzaniaNchi hii ina watu wajuaji japo hawajui kitu.
Anajua kilichojengwa huko chini?
Kuna underground floor ngapi?
Mahandaki mangapi?
Kuna escaping tr... yenye urefu gani?
Mbona walisema majengo yake ni ya kipekee ndiyo maana walikataa kujengewa na wafadhili toka nje mbona hapa yanafanana na yale ya DarKwa lugha rahisi ni milioni elfu moja.
Martin kupitia ukurasa wake wa Twitter (X) anaandika
Hili ni tatizo la kununua bidhaa mtandaoni. Unakuta bidhaa ya elfu ishirini, mtandaoni wanasema ni laki moja. Serikali imenunua nondo mtandaoni, wamejenga msingi wa ghorofa moja tu kwa shilingi bilioni moja. Kwa lugha rahisi, milioni elfu moja. Hii nchi pesa ipo bablai.
View attachment 2945423
=====
Ujenzi wa msingi wa Ikulu ya Chamwino Dodoma ulitumia nondo zenye thamani ya shilingi Bilioni 1 kutokana na mahitaji ya ujenzi wa jengo imara ambalo litaduma karne na karne" - Meja Jenerali Mbugi
maoni ya kihuni haya wale wasio chezea Kodi walifanya Nini? nusu ya wilaya zote nchini hazikuwa na hospitali za wilaya, jpm alihakikisha Kila wilaya Ina hospitali na Kila halmashauri Ina hospitali yake ya wilaya,jpm alikuwa mwiba Kwa waharifu wa kimfumo na ndio nyie Kila siku ni kumsema vibaya marehemu kulipa kisasi Kwa kuzuia uharifu wenu...hatukupaswa kujenga Ikulu mpya.
..kujenga makao makuu mapya Dodoma ni kuchezea kodi za wananchi maskini.
1. Ushamba umezidiNadhani hakuna taifa lina watu wengi wanaopenda sifa za kipuuzi na kushadadia mambo ya kijinga kama Tanzania
Dr Janabi: Haters wa mama Samia Suluhu Hassan hatarini kujifungua kabla ya wakati!!Hao ndio wazalendo tunaowataka watanzania.kwa maana hiyo msingi no imara siyo hivi vishule uchwara vinavyojenngwa na huyu maza