Msimu wa kutukwanwa Waarabu umekaribia

Msimu wa kutukwanwa Waarabu umekaribia

Mzanzibari Huru

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2014
Posts
393
Reaction score
234
Ndugu Wana Jamii

Kwanza nakuamkieni kwa heshima na taadhima.

Mbele yetu zinakaribia siku za kampeni za kisiasa, zoezi muhimu sana linalowapa Watanzania uhuru wa kutowa ridhaa zao juu ya viongozi wanaowataka kusimamia maisha yao kiujumla. Kwa lugha nyingine, ni kwamba tunaingia katika uchaguzi mkuu.

Katika chaguzi fulani zilizopita nyuma, tumegundua baadhi ya wagombea walikuwa wakileta sera za kuwatukana Waarabu. Hatufamu ni kwasbabu gani wanachagua kufanya hivyo, ingawaje Tanzania ni nchi ya makabila tofauti, na yapo makabila mbali mbali hata ya kibantu ambayo asili yake sio Tanzania.

La kushangaza zaidi, wanashiriki kuwatukana Waarabu sio wanaogombania vyiti vya siasa tu bali hata viongozi wa didni fulani fulani hivi. Yaani hawa ndio wanaochokesha hata kuwasikliza, kwanini hawa wasiimbishe kwaya zao, wakapokea sadaka wakaenda kujinunulia magari tu, Waarabu wamewakosa nini? Mwengine alokuwa hata hana uwezo wa kuyapima maneno yake, akawa anasema Zanzibar wanataka nchi yao kwa sababu wanataka kujifundisha Kiarabu; huyu mzee sijui alikuwa anakula breakfast gani.

Ninalotaka kuwafahamisha hao ni kwamba binadamu wa kwanza kuweka mguu wake katika visiwa vya Unguja na Pemba, kabla ya kuitwa kwa majina hayo ni Washirazi kutoka Persia, sasa kunaitwa Iran. Wakifuatiliwa na Waarabu. Athari za watu kutoka Persia zipo hadi leo; kwanza katika lugha ya Kiswahili, maneno mengi sana yana asili ya Kifarsi (Farsi ni lugha ya Persia sasa Iran). Nitaweka hapa katika makala hii maneno machache maarufu zaidi:

Bibi, babu, dada, kaka, bwana, shanuo, gunia, kelele, mbuzi, karakana, bangi, jambazi, malaya, bandari, jahazi, nanga, nahodha, tumbaku, pamba, kitani, rangi, chapa, bahati, balungi na maneno mengi sana, yaani Kiswahili kimejengwa na Kiarabu na Kifarsi

Zaid ya hapo katika mambo ya kijamii, kule Makunduchi wanaendeleza utamaduni wauitao kogo la mwaka; wanafanya sherehe hizo mara moja kwa mwaka. Sehemu moja katika sherehe hizo ni kuzungumka moto. Wanachoma makuni mengi halafu wanafanya duwara kubwa la watu na kuzungumka moto huo. Kwa wale wanajuwa mambo ya dini mbali mbali, watajuwa kwamba huo ni utamaduni wa Zoroasterians; huo ni utamaduni uloletwa na Washirazi.

Zaidi ya hapo, ukimuuliza Mzanzibari, ni nani Mzanzibari asilia hapa visiwani, jawabu itakuwa ni Mshirazi. Munakumbuka Shirazi association waliojiunga na African Association wakafanya Afroshirazi Party, Ndio hao basi.

Tunajuwa mtu yoyote anayehama kwao kwa hiyari yake, huwa ananasabu mbali mbali lani zaidi ni za kimaisha, hadi leo hii. Waarabu na washirazi walilazimika kusafiri ili kutafuta maisha bora au mali ghafi za siku hizo. Watu kutoka Mrima na sehemu nyengine za mwambao wa Bara la Afrika Mashariki hawakuwa na sababu yoyote ya kundoka katika miji na vijiji vyao na kuja Visiwani. Sababu wao walikuwa na maisha yao kamili, wanyama, mashamba, mimea, misitu, na bahari ya kuvua samaki.

Watu kutoka Mrima, sasa Tanganyika, na bara nyenginezo, kama vile Nyasaland, Msumbiji na hata Uganda, waliletwa Zanzibar. Hio sio aibu kwa sababu waliletwa kuifanya kazi maalumu.

Watawala wote wanaotajwa katika historia yetu hapa Zanzibar walikuwa Waarabu, mukisia Makama ndume, Mwinyi Mkuu, na wengineo. Hakujawahi Zanzibar kuwa na kiongozi Muafrika isipokuwa kuanzia 1964.

Kwa ufupi sana, ningependa kuwaambia hao wanaojitaarisha kuwatakuna Waarabu kwamba Zanzibar ipo tu karibu na bara la Afrika.

Bora mungeendeleza shughuli zenu za kukusanya sadaka kabla watu hawaja amka; wakiamka baada ya kuimbisha kwaya mutatuta mejembe mukalime.

Ahsanteni.
 
Ndugu Wana Jamii

Kwanza nakuamkieni kwa heshima na taadhima.

Mbele yetu zinakaribia siku za kampeni za kisiasa, zoezi muhimu sana linalowapa Watanzania uhuru wa kutowa ridhaa zao juu ya viongozi wanaowataka kusimamia maisha yao kiujumla. Kwa lugha nyingine, ni kwamba tunaingia katika uchaguzi mkuu.

Katika chaguzi fulani zilizopita nyuma, tumegundua baadhi ya wagombea walikuwa wakileta sera za kuwatukana Waarabu. Hatufamu ni kwasbabu gani wanachagua kufanya hivyo, ingawaje Tanzania ni nchi ya makabila tofauti, na yapo makabila mbali mbali hata ya kibantu ambayo asili yake sio Tanzania.

La kushangaza zaidi, wanashiriki kuwatukana Waarabu sio wanaogombania vyiti vya siasa tu bali hata viongozi wa didni fulani fulani hivi. Yaani hawa ndio wanaochokesha hata kuwasikliza, kwanini hawa wasiimbishe kwaya zao, wakapokea sadaka wakaenda kujinunulia magari tu, Waarabu wamewakosa nini? Mwengine alokuwa hata hana uwezo wa kuyapima maneno yake, akawa anasema Zanzibar wanataka nchi yao kwa sababu wanataka kujifundisha Kiarabu; huyu mzee sijui alikuwa anakula breakfast gani.

Ninalotaka kuwafahamisha hao ni kwamba binadamu wa kwanza kuweka mguu wake katika visiwa vya Unguja na Pemba, kabla ya kuitwa kwa majina hayo ni Washirazi kutoka Persia, sasa kunaitwa Iran. Wakifuatiliwa na Waarabu. Athari za watu kutoka Persia zipo hadi leo; kwanza katika lugha ya Kiswahili, maneno mengi sana yana asili ya Kifarsi (Farsi ni lugha ya Persia sasa Iran). Nitaweka hapa katika makala hii maneno machache maarufu zaidi:

Bibi, babu, dada, kaka, bwana, shanuo, gunia, kelele, mbuzi, karakana, bangi, jambazi, malaya, bandari, jahazi, nanga, nahodha, tumbaku, pamba, kitani, rangi, chapa, bahati, balungi na maneno mengi sana, yaani Kiswahili kimejengwa na Kiarabu na Kifarsi

Zaid ya hapo katika mambo ya kijamii, kule Makunduchi wanaendeleza utamaduni wauitao kogo la mwaka; wanafanya sherehe hizo mara moja kwa mwaka. Sehemu moja katika sherehe hizo ni kuzungumka moto. Wanachoma makuni mengi halafu wanafanya duwara kubwa la watu na kuzungumka moto huo. Kwa wale wanajuwa mambo ya dini mbali mbali, watajuwa kwamba huo ni utamaduni wa Zoroasterians; huo ni utamaduni uloletwa na Washirazi.

Zaidi ya hapo, ukimuuliza Mzanzibari, ni nani Mzanzibari asilia hapa visiwani, jawabu itakuwa ni Mshirazi. Munakumbuka Shirazi association waliojiunga na African Association wakafanya Afroshirazi Party, Ndio hao basi.

Tunajuwa mtu yoyote anayehama kwao kwa hiyari yake, huwa ananasabu mbali mbali lani zaidi ni za kimaisha, hadi leo hii. Waarabu na washirazi walilazimika kusafiri ili kutafuta maisha bora au mali ghafi za siku hizo. Watu kutoka Mrima na sehemu nyengine za mwambao wa Bara la Afrika Mashariki hawakuwa na sababu yoyote ya kundoka katika miji na vijiji vyao na kuja Visiwani. Sababu wao walikuwa na maisha yao kamili, wanayama, mashamba, mimea, misitu, na bahari ya kuvua samaki.

Watu kutoka Mrima, sasa Tanganyika, na bara nyenginezo, kama vile Nyasaland, Msumbiji na hata Uganda, waliletwa Zanzibar. Hio sio aibu kwa sababu waliletwa kuifanya kazi maalumu.

Watawala wote wanaotajwa katika historia yetu hapa Zanzibar walikuwa Waarabu, mukisia Makama ndume, Mwinyi Mkuu, na wengineo. Hakujawahi Zanzibar kuwa na kiongozi Muafrika isipokuwa kuanzia 1964.

Kwa ufupi sana, ningependa kuwaambia hao wanaojitaarisha kuwatakuna Waarabu kwamba Zanzibar ipo tu karibu na bara la Afrika.

Bora mungeendeleza shughuli zenu za kukusanya sadaka kabla watu hawaja amka; wakiamka baada ya kuimbisha kwaya mutatuta mejembe mukalime.

Ahsanteni.
Hii dhana ya kutukana inatoka wapi? Mtu akisema wanatuibia mali ni tusi? Wanatuibia tembo ni tusi?
 
Hii dhana ya kutukana inatoka wapi? Mtu akisema wanatuibia mali ni tusi? Wanatuibia tembo ni tusi?
Wanaiba nini? Au kufanya biashara ndio kuiba? Lakini mbona tunajisahaulisha, ivo, ndio tumesahau wanaoiba hasa ni kina nani? Au tunawogopa hata kuwahataja, maana wamepewa hata na funguo. Mwarabu anakuibia nini?
 
Bora mungeendeleza shughuli zenu za kukusanya sadaka kabla watu hawaja amka; wakiamka baada ya kuimbisha kwaya mutatuta mejembe mukalime.
Wale watumwa waliopelekwa Uarabuni kwa mamilioni wapo wapi leo? Mbona wale watumwa waliopelekwa USA ndio hao Black Americans, wale walioenda Urabuni masalia yao ni akina nani?
 
Wanaiba nini? Au kufanya biashara ndio kuiba? Lakini mbona tunajisahaulisha, ivo, ndio tumesahau wanaoiba hasa ni kina nani? Au tunawogopa hata kuwahataja, maana wamepewa hata na funguo. Mwarabu anakuibia nini?
Mimi sijasema waiba au hawaibi, suala langu hapo ni hiyo dhana kwamba ukiambiwa kitu ati unatakanwa. Kam vitu haviko transparent na vinafichwa vinafanywa kimya kimya kwa nini wananchi wasilalamike? Kama wale wamasai kuamishwa kwenye makazi Yao kwenda Tanga na kumwachia lile eneo waarabu
 
Israel hawo hapo nyetanyahu njoo huku
Ohh Beira Boy

Wake up, Kaka. Masponsa wa utawala wa kinyama na udhalilishaji wa haki zote za binadamu katika nchi za Kiafrika walikuwa hao Wayahudi, wewe unaowafikiria ni wema kwako. Pole sana, kaka. Haiwezekani, Myahudi akujali mwafrika. Na naona huko Tanganyika mumewavaa sana Wayahudi; iko siku mutajuta hata kuzaliwa. Mutawajuwa wahaudi ni nani? Leo wacha mkuu wa mkoa apendishe bendera ya Kiyahudi akidhani ndio anajipendekeza.

Na hivi, hadi leo 2025, bado muna akili za kuazima; kweli, Prof. PLO Lumumba alivyosema, sisi Waafrika tutatawaliwa tena. Na mara hii watawala hawatofanya makosa yale yale ya kutupa uhuru.
 
Wale watumwa waliopelekwa Uarabuni kwa mamilioni wapo wapi leo? Mbona wale watumwa waliopelekwa USA ndio hao Black Americans, wale walioenda Urabuni masalia yao ni akina nani?
Kaka fazili

Jawabu unalo mwenyewe; Watumwa wote walipelekwe Americas. Sababu huko ndio kuliko kuwa na kazi za kilimo na mengineyo. Kwanini Uingereza hakuna watu weusi wengi, ukiondosha hawa wahamiaji wa karibuni? Kwasababu Uingereza hakukuwa na kazi nyingi zinazohitajia watumwa wengi.

Ninataka uniambie Uarabuni kulikuwa na kazi gani zinazohitajia mamilioni ya watumwa? Kwahivyo hao watumwa mamilioni ni stori za miataani tu. Kwahivyo, hakukuwa na sababu ya kupeleka Waafrika wengi Uarabuni sababu hakukuwa na kazi huko zinazohitajia mamilioni ya watumwa.

Kwa ufupi, hayo mamilioni ni maneo ya chuki dhidi ya Waarabu, na watu wana wivu sana tu na waarabu.
 
Mimi sijasema waiba au hawaibi, suala langu hapo ni hiyo dhana kwamba ukiambiwa kitu ati unatakanwa. Kam vitu haviko transparent na vinafichwa vinafanywa kimya kimya kwa nini wananchi wasilalamike? Kama wale wamasai kuamishwa kwenye makazi Yao kwenda Tanga na kumwachia lile eneo waarabu
Rejea tena jawabu lako la kwanza. Vitu gani viko transparent vinafichuliwa? Na kwanini wafichuwe vitu hivyo makanisani? Si hawa wanajidai kutuambia kwamba kanisa ni nyumba ya mungu, kwanini wafanye ubaguzi huo na kupandikisha chuki dhidi ya watu wasiokuwa na zaidi ya biashara zao tu? Ikiwa hawana la kusema, si waambie wakae majumbani kwao washughulike na familia zao.
 
Ohh Beira Boy

Wake up, Kaka. Masponsa wa utawala wa kinyama na udhalilishaji wa haki zote za binadamu katika nchi za Kiafrika walikuwa hao Wayahudi, wewe unaowafikiria ni wema kwako. Pole sana, kaka. Haiwezekani, Myahudi akujali mwafrika. Na naona huko Tanganyika mumewavaa sana Wayahudi; iko siku mutajuta hata kuzaliwa. Mutawajuwa wahaudi ni nani? Leo wacha mkuu wa mkoa apendishe bendera ya Kiyahudi akidhani ndio anajipendekeza.

Na hivi, hadi leo 2025, bado muna akili za kuazima; kweli, Prof. PLO Lumumba alivyosema, sisi Waafrika tutatawaliwa tena. Na mara hii watawala hawatofanya makosa yale yale ya kutupa uhuru.
Wewe ni ndugu yake Mh. Rais Samia Suluhu Hassan? Au wewe ni Mwarabu unaodau wanatukanwa?
 
Kaka fazili

Jawabu unalo mwenyewe; Watumwa wote walipelekwe Americas. Sababu huko ndio kuliko kuwa na kazi za kilimo na mengineyo. Kwanini Uingereza hakuna watu weusi wengi, ukiondosha hawa wahamiaji wa karibuni? Kwasababu Uingereza hakukuwa na kazi nyingi zinazohitajia watumwa wengi.

Ninataka uniambie Uarabuni kulikuwa na kazi gani zinazohitajia mamilioni ya watumwa? Kwahivyo hao watumwa mamilioni ni stori za miataani tu. Kwahivyo, hakukuwa na sababu ya kupeleka Waafrika wengi Uarabuni sababu hakukuwa na kazi huko zinazohitajia mamilioni ya watumwa.

Kwa ufupi, hayo mamilioni ni maneo ya chuki dhidi ya Waarabu, na watu wana wivu sana tu na waarabu.
Nadhani unafahamu ni watu wa bara gani walifanya biashara kubwa zaidi ya utumwa kupitia ukanda wa pwani ya Tanganyika wakifanya misafara mikubwa ya watumwa kutoka Kigoma hadi Bagamoyo huku wamebeba pembe za ndovu na mizigo mingine mingi. Hawa walikuwa Waarabu na waliwatumia waafrika wengi sana. Biashara ya utumwa imefanywa kwa miongo mingi sana na unajua kuwa Bagamoyo na Zanzibar chimbuko lake la awali ni biashara ya utumwa. Zanzibar na pwani ya Tanganyika ndipo waliposhukia Waarabu na walifungua masoko makubwa sana ya watumwa sehemu hizi na watumwa hawa walipelekwa Uarabuni.

Kwanini watumwa walipakiwa kwenye majahazi na kepelekwa Zanzibar kutokea Bagamoyo wakati walikuwa tayari wameshabeba mizigo mingi kutoka bara? Walipelekwa Uarabuni kwa kazi nyingine. Wengi walifika huko na wengi waliishia kutoswa baharini. Wale waliofika Uarabuni alama yao ipo wapi leo? Tunaambiwa waliasiwa wasizaliane na wengi waliuawa kikatili.

Lakini story ni tofauti kwa wale waliopelekwa USA au UK, angalau tunawaona, hao ni black Americans na Black British. waarabu ni watu wakatili kupindukia hadi leo hii utumwa wanauendeleza. Tafuta habari za Watanzania na Wakenya wanaopelekwa Uarabuni kwenye utumwa mamboleo wakueleze ukatili wanaofanyiwa, utashangaa. Waarabu?, hapana!
 
Ndugu Wana Jamii

Kwanza nakuamkieni kwa heshima na taadhima.

Mbele yetu zinakaribia siku za kampeni za kisiasa, zoezi muhimu sana linalowapa Watanzania uhuru wa kutowa ridhaa zao juu ya viongozi wanaowataka kusimamia maisha yao kiujumla. Kwa lugha nyingine, ni kwamba tunaingia katika uchaguzi mkuu.

Katika chaguzi fulani zilizopita nyuma, tumegundua baadhi ya wagombea walikuwa wakileta sera za kuwatukana Waarabu. Hatufamu ni kwasbabu gani wanachagua kufanya hivyo, ingawaje Tanzania ni nchi ya makabila tofauti, na yapo makabila mbali mbali hata ya kibantu ambayo asili yake sio Tanzania.

La kushangaza zaidi, wanashiriki kuwatukana Waarabu sio wanaogombania vyiti vya siasa tu bali hata viongozi wa didni fulani fulani hivi. Yaani hawa ndio wanaochokesha hata kuwasikliza, kwanini hawa wasiimbishe kwaya zao, wakapokea sadaka wakaenda kujinunulia magari tu, Waarabu wamewakosa nini? Mwengine alokuwa hata hana uwezo wa kuyapima maneno yake, akawa anasema Zanzibar wanataka nchi yao kwa sababu wanataka kujifundisha Kiarabu; huyu mzee sijui alikuwa anakula breakfast gani.

Ninalotaka kuwafahamisha hao ni kwamba binadamu wa kwanza kuweka mguu wake katika visiwa vya Unguja na Pemba, kabla ya kuitwa kwa majina hayo ni Washirazi kutoka Persia, sasa kunaitwa Iran. Wakifuatiliwa na Waarabu. Athari za watu kutoka Persia zipo hadi leo; kwanza katika lugha ya Kiswahili, maneno mengi sana yana asili ya Kifarsi (Farsi ni lugha ya Persia sasa Iran). Nitaweka hapa katika makala hii maneno machache maarufu zaidi:

Bibi, babu, dada, kaka, bwana, shanuo, gunia, kelele, mbuzi, karakana, bangi, jambazi, malaya, bandari, jahazi, nanga, nahodha, tumbaku, pamba, kitani, rangi, chapa, bahati, balungi na maneno mengi sana, yaani Kiswahili kimejengwa na Kiarabu na Kifarsi

Zaid ya hapo katika mambo ya kijamii, kule Makunduchi wanaendeleza utamaduni wauitao kogo la mwaka; wanafanya sherehe hizo mara moja kwa mwaka. Sehemu moja katika sherehe hizo ni kuzungumka moto. Wanachoma makuni mengi halafu wanafanya duwara kubwa la watu na kuzungumka moto huo. Kwa wale wanajuwa mambo ya dini mbali mbali, watajuwa kwamba huo ni utamaduni wa Zoroasterians; huo ni utamaduni uloletwa na Washirazi.

Zaidi ya hapo, ukimuuliza Mzanzibari, ni nani Mzanzibari asilia hapa visiwani, jawabu itakuwa ni Mshirazi. Munakumbuka Shirazi association waliojiunga na African Association wakafanya Afroshirazi Party, Ndio hao basi.

Tunajuwa mtu yoyote anayehama kwao kwa hiyari yake, huwa ananasabu mbali mbali lani zaidi ni za kimaisha, hadi leo hii. Waarabu na washirazi walilazimika kusafiri ili kutafuta maisha bora au mali ghafi za siku hizo. Watu kutoka Mrima na sehemu nyengine za mwambao wa Bara la Afrika Mashariki hawakuwa na sababu yoyote ya kundoka katika miji na vijiji vyao na kuja Visiwani. Sababu wao walikuwa na maisha yao kamili, wanyama, mashamba, mimea, misitu, na bahari ya kuvua samaki.

Watu kutoka Mrima, sasa Tanganyika, na bara nyenginezo, kama vile Nyasaland, Msumbiji na hata Uganda, waliletwa Zanzibar. Hio sio aibu kwa sababu waliletwa kuifanya kazi maalumu.

Watawala wote wanaotajwa katika historia yetu hapa Zanzibar walikuwa Waarabu, mukisia Makama ndume, Mwinyi Mkuu, na wengineo. Hakujawahi Zanzibar kuwa na kiongozi Muafrika isipokuwa kuanzia 1964.

Kwa ufupi sana, ningependa kuwaambia hao wanaojitaarisha kuwatakuna Waarabu kwamba Zanzibar ipo tu karibu na bara la Afrika.

Bora mungeendeleza shughuli zenu za kukusanya sadaka kabla watu hawaja amka; wakiamka baada ya kuimbisha kwaya mutatuta mejembe mukalime.

Ahsanteni.
...kama vile Mpalestina anayedai haki zake Uarabuni!! Ati "...Bara mungeendesha shughuli zenu za kukusanya sadaka kabla watu hawajaamka...", watu gani wamelala, hawajaamka! Kwani mtakapoamka mtafanya nn!? Ndo maana waZenji mmeachwa mkajitengnezea Ktb yenu lkn mkiambiwa kujitenga/jitegemea mnagwaya.
Ati "...Zanzibar ipo tu karibu na Bara la Afrika...". Ungemalizia kw kuxema "...lkn ni Saudia au Iran au Iraq ...nk". Andiko la kichochezi. ...ati tuendeleze shughuli zetu "kabla watu hawajaamka...". Watu gani?! WaPalestina?! Amkeni basi tuone... tishia nyau!
 
Kaka fazili

Jawabu unalo mwenyewe; Watumwa wote walipelekwe Americas. Sababu huko ndio kuliko kuwa na kazi za kilimo na mengineyo. Kwanini Uingereza hakuna watu weusi wengi, ukiondosha hawa wahamiaji wa karibuni? Kwasababu Uingereza hakukuwa na kazi nyingi zinazohitajia watumwa wengi.

Ninataka uniambie Uarabuni kulikuwa na kazi gani zinazohitajia mamilioni ya watumwa? Kwahivyo hao watumwa mamilioni ni stori za miataani tu. Kwahivyo, hakukuwa na sababu ya kupeleka Waafrika wengi Uarabuni sababu hakukuwa na kazi huko zinazohitajia mamilioni ya watumwa.

Kwa ufupi, hayo mamilioni ni maneo ya chuki dhidi ya Waarabu, na watu wana wivu sana tu na waarabu.
Kama vile watu hawakuxoma historia!! Makala kama hizi zinatia haxira. Kwmb waTanganyika wakae pmbni wakihexabu xadaka au wachkue majembe wakalime...!! Naona "...na watu wana wivu sana na waarabu..." ungemwambia Netanyahu ...nk
 
Rejea tena jawabu lako la kwanza. Vitu gani viko transparent vinafichuliwa? Na kwanini wafichuwe vitu hivyo makanisani? Si hawa wanajidai kutuambia kwamba kanisa ni nyumba ya mungu, kwanini wafanye ubaguzi huo na kupandikisha chuki dhidi ya watu wasiokuwa na zaidi ya biashara zao tu? Ikiwa hawana la kusema, si waambie wakae majumbani kwao washughulike na familia zao.
Mkisemwa mnaanza kanisa sasa hao wamasai Loliondo mliotaka kuwaamisha wana uhusiano gani na kanisa? Ukweli maeneo yamepewa waarabu bila hata Bunge kujua. Unaweza kuamini watu kama nyie kwa sababu Rais ni wa dini yako tukisema ati anaonewa kwa sababu ni wa hiyo dini?

Bandari kupewa waarabu na mamilioni ya eka walizopewa waarabu kwa CO2 unajua ni kiasi gani ya nchi?
 
Israel Nchi ya ahadi italinda mipaka yote ardhini na angani
 
Back
Top Bottom