Msimpuuze Mange Kimambi she has a man behind her

Msimpuuze Mange Kimambi she has a man behind her

Hahahaa kwan divorce hajapewa? Kama haogopi kufukuzwa mbona hamchambui trump kama anavyomchezea magu,chezea wazungu wewe.
We ni Kihiyo! unataka amchambue Trump kwa wa TZ kwani ndo waliomchagu?
 
Genious kwani hili povu umenunua foma ngapi mbona limetapakaa hivi.(punguza kukurupuka)
Povu2.jpg
Post namba 81 ina fanana na hii picha? kama siyo basi wewe ni kilaza.
 
Wakuu salamu,

Watu wengi wamekuwa wakimpuuza Mange kimambi na kudhani ni mtu aliyerukwa na akili pengine au ana msongo wa mawazo au talaka imemchanganya ila ukweli ni kwamba mwanadada huyu msema kweli (wanaomwita msema hovyo ni green demons).

Ana jamaa yake Tanzania mvaa suti nyeusi ambaye ndo huwa anammegea ubuyu wote kuhusu habari za kaya.

Hata ishu ya Bi mkubwa kutaka kubwaga manyanga na Mange kuiweka hadharani ilikuwa ni kweli tupu, Tatizo la Mange mdomo wake hauna break ila anayoongea huwa ni kweli tupu.

Na sasa hivi anajiandaa kulipua bomu la lala salama,tutege masikio.
Mwisho wa ubuyu wake uko karibu
 
Nampenda sana huyu dada yani hata km nina kazi naacha na nimeshajua hadi muda wake wa kupost habari zake ni jioni na alfajiri
 
Wakuu salamu,

Watu wengi wamekuwa wakimpuuza Mange kimambi na kudhani ni mtu aliyerukwa na akili pengine au ana msongo wa mawazo au talaka imemchanganya ila ukweli ni kwamba mwanadada huyu msema kweli (wanaomwita msema hovyo ni green demons).

Ana jamaa yake Tanzania mvaa suti nyeusi ambaye ndo huwa anammegea ubuyu wote kuhusu habari za kaya.

Hata ishu ya Bi mkubwa kutaka kubwaga manyanga na Mange kuiweka hadharani ilikuwa ni kweli tupu, Tatizo la Mange mdomo wake hauna break ila anayoongea huwa ni kweli tupu.

Na sasa hivi anajiandaa kulipua bomu la lala salama,tutege masikio.
Kwa hiyo wewe ndo huyo jamaa yake au ndo mpambe?
Umbea umekuwashaaa hadi ukatoa siri kabla ya kuiva...umeshindwa kufunga mdomo..
Lala salama...inamaana baada ya hilo bomi ndo kwisha habari yake siyo?
 
Bomu la lala salama ndio nini? Unadhani hajui Trump keshaingia madarakani? Hawezi tukana tena kama zamani anajua...the end is.......ha ha haaaa....
Atatumia kiswahili ili Trump asimwelewe.
 
Kila jambo lina mwanzo na mwisho wake. Kushindana na serikali ni sawa na kuzuia upepo wa mikono.
 
Huyu mange ni mtu wa kupuuza sana, kipindi cha uchaguzi mkuu tulihitaji msaada wake sana ila akawa anamponda lowasa kwa nguvu zote, Leo hii anajiita mwana halakati.
 
hapa juzi kati nilikuwa naongea na veteran mmoja wa siasa hapa Tanzania (a prominent and very influential CCM cadre) and this is what he confided in me.....

quote
"...kaka, come 2020 CCM will (not may or could or can or must or should but WILL) cease to be the ruling party. one way or the other!"
unquote

sijui ni nini kinaendelea huko but kuna kitu kikubwa sana it seems!
Labda kwenye ndoto,sijaona mtanzania was kuiondoa ccm mie,wapuuzi bado wengi plus NECccm
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom