vannessa2
Senior Member
- Jan 20, 2017
- 176
- 81
Kaeni mkingoja atarudishwa mwenzenu anavibaliBomu la lala salama ndio nini? Unadhani hajui Trump keshaingia madarakani? Hawezi tukana tena kama zamani anajua...the end is.......ha ha haaaa....
Kaeni mkingoja atarudishwa mwenzenu anavibaliBomu la lala salama ndio nini? Unadhani hajui Trump keshaingia madarakani? Hawezi tukana tena kama zamani anajua...the end is.......ha ha haaaa....
WE piga deki hapo lumumbaLakini anawasadia vipi chadema na upinzani kisiasa kwa ujumla, zaidi ya umbea? Kwa maana CCM imeshinda Kata 19 kati ya 20!
Na wewe tafuta yako yakudumuAisee hata kinyonga huwa ana rangi ya kudumuView attachment 464592
Hiii kitu kuna Mtu nlikua napiga story nae... Akawa anasema kua Mange lazima atakua na watu walioko kwenye system wanampush kufanya hvyo... Either mawaziri or mtu yyte very powerful ambae hafurahishwi na utendaji wa Mkuu... All in all time is the best medicine.. ngoja tusubr tuone

yaani yeye kujiandaa kulipua tu na wewe ukajua, au wewe ndiye huyo mvaa suti?Wakuu salamu,
Watu wengi wamekuwa wakimpuuza Mange kimambi na kudhani ni mtu aliyerukwa na akili pengine au ana msongo wa mawazo au talaka imemchanganya ila ukweli ni kwamba mwanadada huyu msema kweli (wanaomwita msema hovyo ni green demons).
Ana jamaa yake Tanzania mvaa suti nyeusi ambaye ndo huwa anammegea ubuyu wote kuhusu habari za kaya.
Hata ishu ya Bi mkubwa kutaka kubwaga manyanga na Mange kuiweka hadharani ilikuwa ni kweli tupu, Tatizo la Mange mdomo wake hauna break ila anayoongea huwa ni kweli tupu.
Na sasa hivi anajiandaa kulipua bomu la lala salama,tutege masikio.