Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,348
- 176,144
- Thread starter
- #381
Unasema hutaki mwanaume bahiri lakini wewe mwenyewe hutaki mwanaume aguse hela zako hata kama unazo zaidi. Sasa nani ni mbahiri? Kuna wanawake WANAFIKI hapa duniani kwa kweli.
Ukitaka ale kwa jasho lake, basi ule kwa jasho lako. Wanawake wa kisasa mnayo matatizo mengi, mnasema hamtaki tena mfumo dume lakini bado mnataka kupewa kila kitu. You can't have your cake and eat it too. Kama bado mnataka kuchuna hela zetu basi jiandaeni kutawaliwa na kumilikiwa kama zamani. End of story.
huo sio mfumo dume, ni kutimiza majukumu yako fullstop.