the american dream
JF-Expert Member
- Mar 25, 2013
- 1,754
- 836
usilete maneno mengiii kujitia ujuaji wakat umeelewa kabisaaa, alafu marioo wanaolewa hawaoi, (hutaki unapita vileeee)
Wazungu kwao mwanamke anamarry huku kwetu hata uwe na hela kumzidi Mengi utaolewa tuuuuu.By the way thread huwa sichaguliwi yaani ipi nichangie na ipi nisiichangie.
Jf where we dare to talk openly.