Msimamo wangu

Msimamo wangu

Huyu ana stresss za kufikisha miaka zaidi ya 30 hana mchumba na hajawahi chumbiwa na hata kutokewa hajawahi tokewa so baada ya kukosa kote huko kaona aweke vigezo vyake ambavyo anajua kabisa hata pata mtu.
 
Weka hata picha ya kucha basi! si masharti marefu km zindiko la utajiri kumbe binti mwenyewe Asha Ngedere afadhali, kicheko ka cha Bi Chau!?
Akiweka picha utaona UGOKO wake umekomaa kama NONDO za kujengea ghorofa!........
 
Thats LOVE Kalu20!!! Umeniqute ila unanirefer kama dada.. na mvi zote izo jamani!!!

Watu wanaongozwa na ubinafsi sana na kujiangalia wenyewe. Wewe fikiria mtu mmependana, mnaaminiana, mnaishi na kulala pamoja, unatoa wapi ujasiri wa kuwa mbinafsi kiasi hiko? SISEMI kwamba mwanaume asichukue majukumu yake yoote ya msingi... Lakini naogopa sana huu ujasiri wa kujibinafsi hivi unakotoka, ni kwa sababu mtu hataki kuihudumia kwa chochote familia yake na mumewe (hata akute tunda zuri njiani amwambie mumewe amtumie pesa ili anunue? NOT FAIR

Ninamfahamu mtu mmoja yeye kaishia la saba, mke wake alikuaga mwalimu wa primary, Jamaa kamsomesha mkewe nadi kamaliza Masters pale UDSM, kaajiriwa noi mkurugenzi wa nini sijui huko... Japo mumewe anajiweza na anaihudumia vizuri familia akiwemo na mkewe.... Huyo mwanamke ndio hata iweje hawezi kutoa senti tano yake hapo nyumbani.. kila kitu KAMWAMBIENI BABA YENU ofcourse ni sawa lakini inaingia akilini kweli?????// siku itokee atumie hela yake ni malalamiko wiki nzima... yeye yupo busy sana na marafiki na investments zake au kujionesha kuwa anazo... sasa hizo ni akini? huo ni umoja? Ni nini faida ya yeye kusoma na kwenda kazini with respect to Yeye na familia?

Hatupaswi kuwategemea ninyi kwa lolote ila OMBENI sana HEKIMA juu ya kazi na vipato vyenu... vinginevyo ubinafsi wenu ndio metego wenu.
Tized kama sio mchungaji basi utakuwa padri(a.k.a baba paroko)....
 
MSIMAMO WANGU

1. Changu ni changu, cha mume/mpenzi wangu tunashea.

2. Mwanaume bahili akae mbali na mimi.

3. Sina huruma na pesa ya mwanaume, labda atakaekuwa mume wangu wa ndoa.

4. Ntafanya majukumu yote kama mpenzi/mke wake, lakini when it comes to my money asahau, imeandikwa "mwanamke atazaa kwa uchungu na mwanaume atakula kwa jasho" so let him provide.

5. Ni marufuku mambo ya joints a/c eti mmoja wetu anaweza kutoa pesa pasipo saini ya mwingine sitaki.

6. Pesa zangu ni zangu ata password cmpi, bora nimpe Mama angu ata nikifa ajifutie nazo machozi.

7. Hata kama nina pesa kuliko yeye, mwanaume ni lazima awajibike, sio pesa ake awanufaishe wengine, maana kuna wanaume ndani wabahili ila nje wanahonga balaa.

8. Nyumba tutasaidiana kujenga, na itakuwa na jina langu na lake, au kama tutakuwa na watoto nao tutawaweka humo.

9. Ni marufuku ndugu wa mume kujihusisha na mali zetu, narudia tena ni marufuku ndugu wa mume kujisogeza karibu na mali zangu mm na mume wangu! Hizi haziwahusu kabisa tena mkae mbali.

NIMEMALIZA

atoto tisha sana
 
Last edited by a moderator:
Ni nini kinachokusukuma kufikiri na kuamua hivyo? Hapo ndipo kiu yangu ilipo wala sio swala la kushare. Tunajua familia ni Jukumu la mwanaume.


si ili umoja kwenye chake uendelee kuwa thabiti
 
Huyu ana stresss za kufikisha miaka zaidi ya 30 hana mchumba na hajawahi chumbiwa na hata kutokewa hajawahi tokewa so baada ya kukosa kote huko kaona aweke vigezo vyake ambavyo anajua kabisa hata pata mtu.

hilo haliwezekani kabisaaa
 
Je, kuna sababu inayokusukuma kuwa na msimamo huu?
..yaweza kuwa malezi, baba na mama waliishi hivyo kwa hiyo na wewe unataka kuishi kama wao?
..yaweza kuwa uliumizwa na mmoja kati ya maex wako katika swala la finance?


huu ni wangu tu walaa hauhusiani na wazazi wangu!! alafu hata cjui kwakweli aisee
 
Back
Top Bottom