Msimamo wangu

Msimamo wangu

ha ha ha ha kwa familia za kitz haya hayatawezekana

na kama yakiwezekana bsi mtakuwa familia ya pekee kwa maana ndgu zako hawatakuelewa(selfshness) na mumeo hatafurahia ndoa yake

atafurahi mpaka basi yaani, ni raha tupu, jaribu oune
 
MSIMAMO WANGU

1. Changu ni changu, cha mume/mpenzi wangu tunashea.

2. Mwanaume bahili akae mbali na mimi.

3. Sina huruma na pesa ya mwanaume, labda atakaekuwa mume wangu wa ndoa.

4. Ntafanya majukumu yote kama mpenzi/mke wake, lakini when it comes to my money asahau, imeandikwa "mwanamke atazaa kwa uchungu na mwanaume atakula kwa jasho" so let him provide.

5. Ni marufuku mambo ya joints a/c eti mmoja wetu anaweza kutoa pesa pasipo saini ya mwingine sitaki.

6. Pesa zangu ni zangu ata password cmpi, bora nimpe Mama angu ata nikifa ajifutie nazo machozi.

7. Hata kama nina pesa kuliko yeye, mwanaume ni lazima awajibike, sio pesa ake awanufaishe wengine, maana kuna wanaume ndani wabahili ila nje wanahonga balaa.

8. Nyumba tutasaidiana kujenga, na itakuwa na jina langu na lake, au kama tutakuwa na watoto nao tutawaweka humo.

9. Ni marufuku ndugu wa mume kujihusisha na mali zetu, narudia tena ni marufuku ndugu wa mume kujisogeza karibu na mali zangu mm na mume wangu! Hizi haziwahusu kabisa tena mkae mbali.

NIMEMALIZA

Ulipiga mswaki asubuhi:what:
 
Huyu ana stresss za kufikisha miaka zaidi ya 30 hana mchumba na hajawahi chumbiwa na hata kutokewa hajawahi tokewa so baada ya kukosa kote huko kaona aweke vigezo vyake ambavyo anajua kabisa hata pata mtu.

una akili nyingi wewe jamani, kweli tena ungesoma sn ungekuwa shoe shiner
 
Uzi huu umefika hadi pg 37??? Kweli mada za kipuuzi zinapendwa sana
 
Mwandishi wa habari hii ni mchoyo, pili ni katili (hana huruma), ni mwuaji. Tena yuko kimasilahi. Anayo majeraha fulani ya kimaisha. Hivyo basi hafai kuwa na mume.
 
Back
Top Bottom