Nawaasa CDM central committee members kufanya tathmini ya kina ni kwa nini wapiga kura wamejitokeza less than 50% ????? ili kuweza kutibu hiyo tatizo kwa kutoa elimu kwa wapiga kura maeneo mengine
Daftari la kudumu la wapiga kura Tanzania lina matatizo makubwa. Lina GHOST VOTERS wengi ambao waliingizwa kinyemele na NEC 2010 ili kumsaidia JK kushinda uchaguzi. Kumbuka kura za URAIS hazihojiwi na chombo chochote kile under this SUN.
Tumeona Igunga, tumeona Arumeru Mashariki, asha kumu si matusi tutaona Segerea, idadi ya wapiga kura itaendelea kuwa ndogo kulinganisha na waliorodheshwa kwenye daftari la kudumu la wapiga kura.
Jaji Damina Lubuva ili kulinda intergrity na credibility yako inabidi uli-UP DATE daftari la kudumu la wapiga kura, limejaa madudu yaliyoinginwa makusudi na Jaji Lewis Makame.
Halafu pia wapiga kura wanapungua kwasababu ya tabia ya CCM ya kununua shahada za wapiga kura. Ili kukomesha tabia hiyo mbaya NEC inabidi sasa waruhusu kutumika kwa form no 13 inayomuruhusu mwananchi aliyepoteza/aliyeuza (SIC) shahada kupiga kura. Hii itasaidia ku-discorauge CCM kununua sahada za wapiga kura. Kwani kama form 13 itatumika maana yake ni kwamba CCM wakinunua shahada still hao wananchi walio uza shahada zao wanaweza kupiga kura kwa kujaza form no 13, mwisho wa siku itakuwa imekula kwa CCM, kwani pamoja na kununua shahada bado wananchi wataweza kupiga kura. Kukataza kutumia form 13 kama NEC ilivyofanya Arumeru Mashariki kunachochea tabia ya CCM kuendelea kununua shahada za wananchi, hence contributing to low voters turn out.
Hongera sana CDM kwa ushindi wa Arumeru Mashariki, CCM na MITUSI yenu kajipangeni upya.