William Mshumbusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 1,657
- 2,252
Nimemuona mkurugenzi wa Arumeru na msimamizi mkuu TBC Akisisitiza watu watawanyike baada ya kupiga kura.
Sheria ya uchaguzi zinasema watu wakae umbali wa mita miamoja.
Hivi hili la kulazimika kwenda nyumbani kalitolea wapi?
Wapo wanaosema wakae umbali wa mita miambili hili ni kwasheria ipi?.
Nasisitiza wananchi wote wanahaki ya kujua kinachoendelea katika vituo vya kupiga kura na usalama wa kurazao. Sheria ilitambua hilo ndiomaana ilisema watu wakae kwa utulivu umbali wa mita mia. kwanini wanaotoa kauli za kupinga sheria halali za uchaguzi wasishitakiwe?. Na imefika wakati tume ya uchaguzi iwe na wafanyakazi wake kama taasi na si kutumia wakurunzi wa wilaya.
Sheria ya uchaguzi zinasema watu wakae umbali wa mita miamoja.
Hivi hili la kulazimika kwenda nyumbani kalitolea wapi?
Wapo wanaosema wakae umbali wa mita miambili hili ni kwasheria ipi?.
Nasisitiza wananchi wote wanahaki ya kujua kinachoendelea katika vituo vya kupiga kura na usalama wa kurazao. Sheria ilitambua hilo ndiomaana ilisema watu wakae kwa utulivu umbali wa mita mia. kwanini wanaotoa kauli za kupinga sheria halali za uchaguzi wasishitakiwe?. Na imefika wakati tume ya uchaguzi iwe na wafanyakazi wake kama taasi na si kutumia wakurunzi wa wilaya.