WAKUU,
KUMBE TARCIUS KAGENZI, YULE MSIMAMIZI WA UCHAGUZI WA ARUMERU EAST HAKUFANYA MAKOSA! AKIHOJIWA ALISEMA HATAUSAHAU UCHAGUZI WA ARUMERU, LAKINI KUMBE HUYU NDO ALIKUWA MSIMAMIZI WA UCHAGUZI MDOGO WA TARIME ULE ULIOZIBA PENGO LA KIFO CHA MBUNGE CHACHA WANGWE! ANAKUMBUKA VEMA ALIVYOLAZIMIKA KUMTANGAZA CHARLES MWERA WA CHADEMA.
MUDA MFUPI BAADA YA KUPOKEA MAAGIZO YA LUTENI YUSUF MAKAMBA KUWA AKAMTANGAZE KONGOYE WA CCM KUWA AMESHINDA BADALA YA MSHINDI HALALI AMBAYE NI MWERA, AKIWA NJIANI TOKA HOTELINI KWA MAKAMBA KUELEKEA HALMASHAURI KUTEKELEZA MAAGIZO YA MAKAMBA, ALIPATA SIMU TOKA KWA VIJANA WA CHADEMA NA MAZUNGUMZO YALIKUWA HIVI "tunajua unaenda kumtangaza kongoye badala ya mwera na unatekeleza maagizo ya makamba kuwa tangaza wakitaka waende mahakamani, sasa ukimaliza kumtangaza njoo hapa nyumbani kwako kwani kutakuwa na msiba mkubwa, kwani tumeshazingira nyumba na hatoki mtu huMU, fanya fasta tuje tuomboleze pamoja.
huyu kagenzi hakuweza kundelea kutekeleza maagizo ya makamba kwa gharama ya vifo vya familia yake, bali alimtangaza mwera, na kumfokea waziwazi makamba.
hiyvyo akiwa arumeru alikohamishiwa toka tarime, hilo hakulisahau, na asingeweza tena kuona familia yake ikiteteketea kwani anawafahamu vema wameru, tofauti yao na wakurya ni ndogo mno.
my take; haki yako hutapewa kwenye bakuli ya dhahabu, wenye masikio na wasikie.