Saharavoice
JF-Expert Member
- Aug 30, 2007
- 4,057
- 2,637
Kamanda, ule msemo wa ukisusa weye wenzio twala waujua?Kwa kuendelea kumfanyia promo zzk sasa hiyo channel yenu tutaisusa kama tbc na mawingu tv mtabaki kuonyesha mikutano ya ccm tu pale nyamagana
mmawia,mimi ni mtanzania lakini mbona sina habari na hiyo kitu?au labda kutokuwa kwangu na habari hii kunatokana na mimi kutumia kichwa kufikiri tofauti nanyi wenzangu?au kutokuwa na habari na hii kitu kunatokana na mimi kuwa mtu wa kusimamia mambo yaliyo na ushahidi badala ya kufuatilia umbea?au labda kwa kuwa mimi si msomaji wa magazeti ya umbea yanayomzungumzia fulani badala ya issue?
Mimi nadhani heri kumfuata Mbowe blindly kuliko kuipa CM mwanya wa kupumua. Ana mapugufu yake lakinii Siasa Tanzania imechangamka lkwa sabu ya uimara wa huyu Jamaa. Kama si uimara wa Mbowe chadema leo ingekuwa historia! Kama hutaki kajinyonge!
hili jina la Kiongozi Mkuu Ayatooollah Zitto linanipa ban sana
Mimi nadhani heri kumfuata Mbowe blindly kuliko kuipa CM mwanya wa kupumua. Ana mapugufu yake lakinii Siasa Tanzania imechangamka lkwa sabu ya uimara wa huyu Jamaa. Kama si uimara wa Mbowe chadema leo ingekuwa historia! Kama hutaki kajinyonge!
Kamanda, ule msemo wa ukisusa weye wenzio twala waujua?
Si ajabu wewe pia unampa promo bila kujijua.
Umeshiba magimbi sasa unaanza kuleta mbwembwe ?
Kamanda, ule msemo wa ukisusa weye wenzio twala waujua?
Si ajabu wewe pia unampa promo bila kujijua.
Kamanda, ule msemo wa ukisusa weye wenzio twala waujua?
Si ajabu wewe pia unampa promo bila kujijua.
Umedandia mjadala usiokuhusu.Angalia tulipotokea utaelewa tunachokijadili hapa.Mimi nadhani heri kumfuata Mbowe blindly kuliko kuipa CM mwanya wa kupumua. Ana mapugufu yake lakinii Siasa Tanzania imechangamka lkwa sabu ya uimara wa huyu Jamaa. Kama si uimara wa Mbowe chadema leo ingekuwa historia! Kama hutaki kajinyonge!
hahhahaahhahha aytwallah sijui ana shea analindwa sana humu sijui kwa nin
Hakuna mtu anayependa kusikia mazuri tu.Aandike masuala amma watu kwa facts siyo chuki,jazba na udaku.Ametoka kumlipa pinda kwa ujinga huohuowabongo bana,wanataka kusikia nyimbo tamu tu.za huzuni hawataki.ungekuwa unajua mission ya Zito ungemkubali Kubenea.
Act wnaweza kumwita Mbowe Nkurunzinza lakini huwezi kumwaita Zitto --------- A-yatollah Al Khameney
Act wnaweza kumwita Mbowe Nkurunzinza lakini huwezi kumwaita Zitto --------- A-yatollah Al Khameney
akiongea startv asubuhi amesema wataanza kusambaza uzalendo wiki ijayo kwa kufanya ziara kupita mikoa 14.
Zitto Z Kabwe
Ndg Mwanachama na rafiki wa ACT Wazalendo,
tunaanza awamu ya pili ya ziara ya
kutambulisha chama chetu na kuhamasisha
wananchi kujiandikisha kwenye daftari la
kudumu la kupiga kura. Ili kufanikisha ziara hii
tunahitaji fedha kununua mafuta, kukodisha
magari na kujikimu. Tunaomba mchango wako
wa tshs 10,000 tu. Tuma mchango wako
kwenye namba 0763463740 (ACT POLITICAL)
au 0715784670 (ACT TANZANIA) au NMB A/C
NO. 22610004083 ACT-TANZANIA.[/QUOTE kazi nzuri tutaichangia
You're clueless indeed, In fact I am a man of my own who knows what he wants from the politics.I am not a worshipper or ass kisser like you.For your information, I am also a big critic of Mbowe. Many CHADEMA supporters know me very well and my stance on Mbowe,they are also suspicious about me.I am an independent thinker and because I view things independently,I foresee things you guys can't objectively see because of your blind loyalty to the guys you blindly follow.
Alikuwa anawatetea nini?
Zitto ni kiongozi ambaye kwa sasa hana mfanowe.
Na uzuri wa Zitto pamoja na Wazalendo wote wa Tanzania sie huwa tunatoa hoja za kuturejeshea nchi yetu kwenye misingi. Ila cdm wao huwa wanatoa matusi ya kila aina na hawana uwezo wa kujenga hoja.
Karibuni ACT-Wazalendo