Msikilizeni Zitto Star TV

 
Zitto anajidai kumuenzi Nyerere wakati Siasa zake zote na wapambe wake zimebase kwenye Ukanda,Udini na Ukabila na kuhonga vyombo vya habari vitu ambavyo ni kinyume kabisa na Nyerere,JF lazima isikilize members wake wake sio kupiga Ban watu wanaomkosoa Zitto.
 

Mbona mpo kimya basi! haya mwambieni Lema au Sungu watudadavulie chanzo cha tattizo na ufumbuzi wake. Subutuu!!!
 
 
Mbona mpo kimya basi! haya mwambieni Lema au Sungu watudadavulie chanzo cha tattizo na ufumbuzi wake. Subutuu!!!

unafikiri hao ndiyo CHADEMA pekee kwenye mamilioni ya wafuasi? Ayaatoolahh Zitto kawaharibu akili kweli kweli
 
unafikiri hao ndiyo CHADEMA pekee kwenye mamilioni ya wafuasi? Ayaatoolahh Zitto kawaharibu akili kweli kweli

Haya basi Taifa linaangamia! Mtowoni huyo Mwenye uwezo huo aongee tumsikie basi. Inakuwaje Mamilioni yanatetemeka na jeshi la mtu mmoja.
 
Zzk ni mchumi?au ni kifupi cha mchumia tumbo?

Mpaka mjadala wenyewe unapoteza mwelekeo, kuna watu humu hata Mungu wanaweza kumwita shetani kama maslahi ya bwana zao yameguswa..
 

Kuna watu wamezivua akili zao, wanatukanag kila aina ya tusi, na imekuwa kama sera maalumu ya Chama chao, matusi
 
zzk kaenda kuzungumzia kushuka kwa sh.we unatukana mbn we ukwenda ila cdm imetuharbia vijana co siri uwez kuskiliza point ya mtu km unamchukia uo ni ujinga ulopitiliza mashabiki wa cdm badliken jaman
 
bado hajui kwamba tsh imeshuka dhidi ya currencies nyingine...
kama kawa jisukule la mbowe at work. jianaume zima linafanya kazi ya kulamba miguu ya mwanaume mwengine. mwanaume hatakiwi kuwa laini kiasi hicho.
 
"funguwa website, www.zittokabwefoundationvicoba.wapka.mobi"


je huyu jamaa ndiyo mwenye hii vicoba akishirikiana na vicky kamata na je kweli watu wananufaika au utapeli?
 
Tatizo ni kuhama chama!!! Tatizo ni kuwa ACT wazalendo!!! Tatizo ni kiongozi wa chama!!.! Tatizo ni Zito!!!?
 

Mhh!!.
Kama ndivyo walivyo. Nina akili timamu. Nachanganya hizo na zangu!
 
zzk kaenda kuzungumzia kushuka kwa sh.we unatukana mbn we ukwenda ila cdm imetuharbia vijana co siri uwez kuskiliza point ya mtu km unamchukia uo ni ujinga ulopitiliza mashabiki wa cdm badliken jaman

Ni kichekesho kwa kuwa gavana na kamati imezungumzia na waziri Mwigulu kazungumzia , Kafulila alikuwapo sasa naenda kuzungumza nini wakati wenye dhamana wamezungumza vizuri sana. Proffessor Ndulu si ----- kama mnavotaka kufikiri ,ni kichwa kizuri kanifundisha finance huyo kiongozi anajua nni cha ziada zaidi ya wenye data,
 

Huyu kitaalamu tunamwita "Resource innovator". Ni aina ya watu wanaozusha fikra na kusimamia kile wanachokiamini. Na Mara zote hufanikiwa. Wazo lolote linalokuja nje ya gikra huchukuliwa kwa tahadhari kubwa.

Ni watu nadra sana katika jamii.
 

Huyo Zitto anakwepa mambo ya msingi hasa yanayoigusa CCM ndio maana hoja zake zinapinda , anawaweza nyie ambao hamkusoma , sie wengine tuna elimu kubwa ya finance na economics hana jeuri ya kunihadaa huyo, na sio mimi tu wapo watu wengi huyu bwana hawezi kuwahadaa nyie form four ndio mnamuona mchumi wa taifa yaani Napata kicheko sana. Mwambie aende UDBS akawaone wachumi kibao.Waziri ametaja vizuri hizo sababu za kuporomoka shilingi, ametoa specific na genuine reasons so far as finance is concerned Zitto analeta theory na kujenalise kukwepa kutaja uozo wa CCM wakati gavana kasema bila chenga
 
Kumbe ww unaonekana ni mfuata watu, we are much concerned with party's Policies sio utoto wenu wa kuigiza cdm mchana usiku mko na ccm kupanga hujuma
Kama na wewe ni mmoja wa inner circle ya CHADEMA basi wamekula hasara. Kichwa box kabisa, kinachojadiliwa kingine na wewe unakuja na jambo lingine tofauti kabisa.Usomege uelewe kwanza,sio unakurupuka tu kushambulia watu na kuwatupia tuhuma juu ya mambo yasiyokuwepo.Nyambafu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…