Msikilizeni Waziri mwenye Dhamana


Dkt. Gwajima D mama shkamoo,
binafsi acha niseme NAKUPENDA... nabarikiwa sana na kuish kwako.
 
Ukienda pale chuo cha maendeleo ya jamii tengeru, utapata tafsiri ya jamii na aina zake mbalimbali tafadhali. Fika tafadhali, kiko pale Arusha mjini kabisa
Sasa kama swali hili linakushinda itakuwaje Madam,Bora usingejibu,

Umenipeleka CBE nikakuambia nimemaliza ukakimbia,Basi saiv unanipeleka Tengeru😂😂

Uko Sawa wewe kweli?
 
Sasa kama swali hili linakushinda itakuwaje Madam,Bora usingejibu,

Umenipeleka CBE nikakuambia nimemaliza ukakimbia,Basi saiv unanipeleka Tengeru😂😂

Uko Sawa wewe kweli?
Tena unaweza kupitia na ruaha iringa kama tengeru itakuwa hawajakusaidia. Pia rungemba wanaweza kuwa wa msaada zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…