Wengi tunatazama mgogoro wa Palestine na Israel katika sura ya kidini,ila ukweli ni kua kinavhogombaniwa hapo ni ardhi na pia maslahi ya nchi kama Marekani na wabia wake kwenye kulinda maslahi yao mashariki ya Kati.
Ukienda kidini, wakrsito wengi wanasapoti Israel wakifikiri ndio mzizi na chimbuko la ukrsito, sijui huwa wanasahau kua kuna tofauti kubwa sana kati ya uyahudi na ukrsito na sijui kama wanakumbuka ni watu gani walimuwamba Yesu msalabani.
Labda wapo watakaosema Yesu aliwambwa msalabani na waislamu!!
Msikilize Joe Biden enzi hizo na sasa akiwa rais ameshapeleka meli za kivita 3 na zinatoa msaada kwa Israel.
Tumetegee sikio na Idd Amin Dada ambae alikua swahiba mkubwa na Taifa la Israel baadae wakaja kugeukana!!