Msikie Kenyatta tena, amekuwa haishi vituko

G4rpolitics

JF-Expert Member
Jul 29, 2015
4,333
5,182
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta amesema mpinzani wake katika uchaguzi mkuu mpya utakaofanyika mwezi ujao akifanikiwa kushinda chama chake kitamuondoa madarakani muda mfupi baadaye kupitia bunge.

"Leo hii katika Bunge, tukiwa na wabunge zaidi ya mia mbili na ishirini na kitu, tumepungukiwa na wabunge 13 pekee tuwe na wingi wa theluthi mbili, hii ina maana kwamba tunaweza hata kubadilisha katiba bila kuwa na mbunge wa NASA." "Atafanya nini, hata mkimpatia kura zote, atafanya nini? Anaweza kufanya nini? Hata akichaguliwa, tuna fursa na Bunge, katika kipindi cha miezi miwili mitatu hivi, tumemtoa."

Aidha leo katika ufunguzi wa Bunge, Majaji wa mahakama kuu pamoja na wabunge wa chama cha upinzani cha Nasa walisusia sherehe ya ufunguzi kwa sababu ambazo inasemekana kwa hao majaji ni vitisho ambavyo amekuwa akiwatolea tangu watengue urais wake.



BBC


My take;- unaweza ukamtoa kwa njama za wabunge wako na chuki zako, ngoma ikarudi kwa wananchi wakamrudisha tena, hiyo si kuipa nchi hasara?
 
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta amesema mpinzani wake katika uchaguzi mkuu mpya utakaofanyika mwezi ujao akifanikiwa kushinda chama chake kitamuondoa madarakani muda mfupi baadaye kupitia bunge. "Leo hii katika Bunge, tukiwa na wabunge zaidi ya mia mbili na ishirini na kitu, tumepungukiwa na wabunge 13 pekee tuwe na wingi wa theluthi mbili, hii ina maana kwamba tunaweza hata kubadilisha katiba bila kuwa na mbunge wa NASA." "Atafanya nini, hata mkimpatia kura zote, atafanya nini? Anaweza kufanya nini? Hata akichaguliwa, tuna fursa na Bunge, katika kipindi cha miezi miwili mitatu hivi, tumemtoa." Aidha leo katika ufunguzi wa Bunge, Majaji wa mahakama kuu pamoja na wabunge wa chama cha upinzani cha Nasa walisusia sherehe ya ufunguzi kwa sababu ambazo inasemekana kwa hao majaji ni vitisho ambavyo amekuwa akiwatolea tangu watengue urais wake.(BBC)

My take;- unaweza ukamtoa kwa njama za wabunge wako na chuki zako, ngoma ikarudi kwa wananchi wakamrudisha tena, hiyo si kuipa nchi hasara?


Kwahiyo kauli tu wamesusa, je wangepigwa bomu tena dhahiri shahiri na policcm ingekuwaje?
Tukubaliane tu Kenya wapo level nyingine ya demokrasia.
by the way raila akiingia tu na akalivunja hilo bunge itakuaje?
 
Kwahiyo kauli tu wamesusa, je wangepigwa bomu tena dhahiri shahiri na policcm ingekuwaje?
Tukubaliane tu Kenya wapo level nyingine ya demokrasia.
by the way raila akiingia tu na akalivunja hilo bunge itakuaje?
Umeuliza swali la maana mkuu, ivi kweli akiingia na kulivunjilia mbali? watu warudi kwenye uchaguzi lkn kma katiba yao itakuwa inaruhusu, hiyo movie otakuwaje tena? Ila tuweke tu masikio na macho yetu..ngoma bdo nzito.
 
Nimeangalia hituba ya Kenyatta mwanzo mwisho ilikuwa hotuba nzuri na iliyosheheni ungwana democracia na uzalendo. Aliyeleza bunge kuwa japo hakufurahishwa na hakubaliani na maamuzi ya mahakama haina budi kuyakubali kwa vile yametolewa kwa wa katiba. Hivyo nawaomba wabunge tuiheshimu katiba kwa ajili ya mstakabali wa nchi yetu. Nilishindwa uchaguzi 2002 niliheshimu matakwa ya wananchi, nilishitakiwa kwenye mahakama ya kimataifa nikakutikana sina hatia kwa hivyo tuilinde amani ya nchi yetu .............Hivi vituko unavyovizungumzia sijui umevitoa wapi! Wezentu wapo hatua nyingine na wanajitambua na wanatambua haki zao
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta amesema mpinzani wake katika uchaguzi mkuu mpya utakaofanyika mwezi ujao akifanikiwa kushinda chama chake kitamuondoa madarakani muda mfupi baadaye kupitia bunge. "Leo hii katika Bunge, tukiwa na wabunge zaidi ya mia mbili na ishirini na kitu, tumepungukiwa na wabunge 13 pekee tuwe na wingi wa theluthi mbili, hii ina maana kwamba tunaweza hata kubadilisha katiba bila kuwa na mbunge wa NASA." "Atafanya nini, hata mkimpatia kura zote, atafanya nini? Anaweza kufanya nini? Hata akichaguliwa, tuna fursa na Bunge, katika kipindi cha miezi miwili mitatu hivi, tumemtoa." Aidha leo katika ufunguzi wa Bunge, Majaji wa mahakama kuu pamoja na wabunge wa chama cha upinzani cha Nasa walisusia sherehe ya ufunguzi kwa sababu ambazo inasemekana kwa hao majaji ni vitisho ambavyo amekuwa akiwatolea tangu watengue urais wake.(BBC)

My take;- unaweza ukamtoa kwa njama za wabunge wako na chuki zako, ngoma ikarudi kwa wananchi wakamrudisha tena, hiyo si kuipa nchi hasara?
 
Nimeangalia hituba ya Kenyatta mwanzo mwisho ilikuwa hotuba nzuri na iliyosheheni ungwana democracia na uzalendo. Aliyeleza bunge kuwa japo hakufurahishwa na hakubaliani na maamuzi ya mahakama haina budi kuyakubali kwa vile yametolewa kwa wa katiba. Hivyo nawaomba wabunge tuiheshimu katiba kwa ajili ya mstakabali wa nchi yetu. Nilishindwa uchaguzi 2002 niliheshimu matakwa ya wananchi, nilishitakiwa kwenye mahakama ya kimataifa nikakutikana sina hatia kwa hivyo tuilinde amani ya nchi yetu .............Hivi vituko unavyovizungumzia sijui umevitoa wapi! Wezentu wapo hatua nyingine na wanajitambua na wanatambua haki zao
Mi sina mapenzi na cha chchte huko kenya kma wewe mkuu, ila nipinge kwa hoja, kipi nilichokisema hpo ambacho si cha kweli? Kwa hiyo wabunge wa Nasa na Majaji wa mahakama kuu walihuzuria mkuu...jibu hilo tu, bila kuandika maneno mengi?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Simpendi Raila kwa kuwa na mahusiano na mtu yule. Sasa tunafanyaje, Kennyta ameshakuwa hovyo kabisa. Wakenya wakataeni wote mpe mwingine yeyote, hata "mbwa" anaweza akawa bora kuliko hao wawili
 
hv lumumba hvyo vichwa vyenu vimejaa maji? kinachosifiwa kenya ni katiba inayoruhusu demokrasia na si kenyatta kuruhusu demokrasia. wawapi nyinyi?
 
According to Nyumbu wa Ufipa eti huyo ndiye mwanademokrasia
Wahenga walisema ukitaka kujua tabia ya mtu mnyime ugali pale anapokuwa na njaa kali. Kama ni mkali utamjua, kama ni mgomvi utamjua, kama ni mpole utamjua, kama ana uwezo wa kudhibiti hasira zake utamjua.Mnyime ugali tu tena ugali kwa kuku wa kienyeji. Tena akiwa tayari amekwisha nawa mikono yake.
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom