Joseph lebai
JF-Expert Member
- Jul 19, 2017
- 8,452
- 8,607
Kenyatta akae kimya tu kusubiri uchaguzi na sio kutishia umma. Wananchi ni kila kitu na nchi ni yao shida iko wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Ingekuwa vzri mno mkuu, ila kuwatoa hao watu kwenye system ni ngumuSimpendi Raila kwa kuwa na mahusiano na mtu yule. Sasa tunafanyaje, Kennyta ameshakuwa hovyo kabisa. Wakenya wakataeni wote mpe mwingine yeyote, hata "mbwa" anaweza akawa bora kuliko hao wawili
Ndiyo tatizoUmeona eeeh miss chagga Kenyatta anaongea sana tatizo.. Halafu anakuwa tayari amepata ile kitu kavuu..
Duh! Serekali ya mseto inanukia Kenya...
Ala! Kumbe kilaji anapiga.Huyo jamaa sa zingine hamnazo kabisa, hapo lazima alishauchapa ulabu kabla ya kuhutubia wabunge..
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo anafaa kutuongoza ili tupate adabu.ulabu,bangi,mirungi,kuberi
Unamuogopa kwan sister? Akilewa tu watu wanapiga makinikia..we huna adabu kwan
Eh Binti mrembo kweliwe huna adabu kwan
Makinikia huwa inamaanisha nini
Ukija Tanzania ukatumia Tony255 utayajua tuMakinikia huwa inamaanisha nini
Usiohope kenyatta n mwana diplomasia anaongea lugha y kidiplomasia. Anamtisha 2 raila c mambo y kampen hayo.Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta amesema mpinzani wake katika uchaguzi mkuu mpya utakaofanyika mwezi ujao akifanikiwa kushinda chama chake kitamuondoa madarakani muda mfupi baadaye kupitia bunge.
"Leo hii katika Bunge, tukiwa na wabunge zaidi ya mia mbili na ishirini na kitu, tumepungukiwa na wabunge 13 pekee tuwe na wingi wa theluthi mbili, hii ina maana kwamba tunaweza hata kubadilisha katiba bila kuwa na mbunge wa NASA." "Atafanya nini, hata mkimpatia kura zote, atafanya nini? Anaweza kufanya nini? Hata akichaguliwa, tuna fursa na Bunge, katika kipindi cha miezi miwili mitatu hivi, tumemtoa."
Aidha leo katika ufunguzi wa Bunge, Majaji wa mahakama kuu pamoja na wabunge wa chama cha upinzani cha Nasa walisusia sherehe ya ufunguzi kwa sababu ambazo inasemekana kwa hao majaji ni vitisho ambavyo amekuwa akiwatolea tangu watengue urais wake.
BBC
My take;- unaweza ukamtoa kwa njama za wabunge wako na chuki zako, ngoma ikarudi kwa wananchi wakamrudisha tena, hiyo si kuipa nchi hasara?
Sijakuelewa mkuuUsiohope kenyatta n mwana diplomasia anaongea lugha y kidiplomasia. Anamtisha 2 raila c mambo y kampen hayo.
Sent using Jamii Forums mobile app