Msigwa nae kaja na kijembe cha mwaka

Msigwa nae kaja na kijembe cha mwaka

Kafuja wapi? Taa hizo zipo zaidi ya miaka 10 na ziliwekwa na halmashauri ya chato kwa kukusanya mapato ya uvuvi ziwani na sokoni
Ziliwekwa wakati akiwa waziri wa wizara husika! Kama alivyo-divert barabara na kuipeleka Chato. Tena kama zipo zaidi ya miaka 10, basi ni maajabu zaidi! Sijui hiyo miaka 10 iliyopita Chato ilikuwaje, kama hadi leo hizo traffic lights bado siyo justifiable.

Traffic lights kazi yake kuongoza magari! Siyo vinginevyo!
 
Ziliwekwa wakati akiwa waziri wa wizara husika! Kama alivyo-divert barabara na kuipeleka Chato. Tena kama zipo zaidi ya miaka 10, basi ni maajabu zaidi! Sijui hiyo miaka 10 iliyopita Chato ilikuwaje, kama hadi leo hizo traffic lights bado siyo justifiable.

Traffic lights kazi yake kuongoza magari! Siyo vinginevyo!

Kwani traffic light ili ziwe justifiable kunatakiwa kuwe na nini? Mbona Dar traffic nyingi hua wana disregard polisi anasimama barabarani anaanza kuongoza magari hapo inakuwa vipi? ni je justifiable ama siyo kwa DAR kuwa na traffic light sehemu ambapo polisi anaamua kuachana na traffic light?

Maana ya traffic light siyo magari tu ndiyo traffic, hata waenda mguu na waendesha baiskeli nao ni traffic. Ili ku coodinate namna na wakati gani mwenda mguu ama baiskeli anakatisha barabara ndiyo hua kuna traffic light za kusimamisha upande mmoja. Japo inaweza tumika zaidi kama wewe unavyofikiria kuwa ndokazi pekee ya traffic light.
 
Salary Slip amka mjomba mbona unalala mpaka mchana! Kulala kwako huko ndiko kumekufanya umsahau mkuu mpiga vijembe, amka chungulia dirishani kumekucha.
 
Wapinzani wa awamu ya Rais Magufuli kwa sasa wamebaki ku-recyle hoja zile zile kutokea wakati wa kampeni za Uchaguzi Mkuu.

Mbaya zaidi hata hoja hawana na walichobaki nacho ni vijembe vya kupitishia siku kwa wafuasi wao wenye akili za kudeki barabara.

Hii hoja ya Traffic light imekuwepo tokea kipindi cha kampeni za Uchaguzi Mkuu 2015.

Hizi ni hoja za kupitishia siku ambazo ukiamka kesho unakuwa umesahau jana alisema/aliandika nini?

Upinzani wa awamu ya Rais Magufuli unasikitisha sana!

Kwa sasa neno ufisadi katika midomo yao ni kama Paka na panya.
magufuli ni mchumia tumbo km walivoccm wote....ameshindwa na ama amedanganya kila alichowahi kusimamia
1. Samaki wa magufuli alishindwa na kuliinhizia taifa hasara kubwa
2. Lugumi hiyo yeye yumo na imemshinda hawezi kujichukulia hatua
3. Kivuko kibovu alileta yeye wala hajajikamata na kujishitaki
4. BASHITE tu amemshinda sembuse Marais waliopita ambao alishasalimu amri hadi kuteua mke wa rais kuwa mbunge
5. Hajaweka mezani mkataba wa chatointernational airport???!!
6. Yeye binafsi hajaweka wazi mkataba wa bormberdier watz wanajua dili alizofanya yeye binafsi....
7. Hajaonesha hata nukta ya uzalendo kwa yale ambayo yeye binafsi ameshinikiza na kupazimishwa yafanyike.
8. Watz mtachezeshwa sn shere na ccm hukumnawalaumu wazungu na wachina kwa kiwaibia wkt wezi wenu ni ccmmnaowachekea
 
Kwani traffic light ili ziwe justifiable kunatakiwa kuwe na nini? Mbona Dar traffic nyingi hua wana disregard polisi anasimama barabarani anaanza kuongoza magari hapo inakuwa vipi? ni je justifiable ama siyo kwa DAR kuwa na traffic light sehemu ambapo polisi anaamua kuachana na traffic light?

Maana ya traffic light siyo magari tu ndiyo traffic, hata waenda mguu na waendesha baiskeli nao ni traffic. Ili ku coodinate namna na wakati gani mwenda mguu ama baiskeli anakatisha barabara ndiyo hua kuna traffic light za kusimamisha upande mmoja. Japo inaweza tumika zaidi kama wewe unavyofikiria kuwa ndokazi pekee ya traffic light.
ukimaliza hizo buku 3 ulete na utetezi wa chato international airport kisha baadae uje na wa B ormberdier we si umeamua kujitoa akili zako zote na kubaki BASHITE
 
Nadhani hapa tofauti ni tafsiri tu, still hili la Chato na traffic lights nao ni ufisadi tu, na wala haiwezi kuwa ni hoja ya kupitisha siku kama tunataka kuwa wazalendo!
safi sana msigwa
 
Wapinzani wa awamu ya Rais Magufuli kwa sasa wamebaki ku-recyle hoja zile zile kutokea wakati wa kampeni za Uchaguzi Mkuu.

Mbaya zaidi hata hoja hawana na walichobaki nacho ni vijembe vya kupitishia siku kwa wafuasi wao wenye akili za kudeki barabara.

Hii hoja ya Traffic light imekuwepo tokea kipindi cha kampeni za Uchaguzi Mkuu 2015.

Hizi ni hoja za kupitishia siku ambazo ukiamka kesho unakuwa umesahau jana alisema/aliandika nini?

Upinzani wa awamu ya Rais Magufuli unasikitisha sana!

Kwa sasa neno ufisadi katika midomo yao ni kama Paka na panya.
Hiyo ni hoja ya kudumu iweje kwenda kujenga mataa porini? Huo ni ufisadi sugu, Wapinzani wanataka mikataba ya ununuzi wa ndege kwa cash ipelekwe Bungeni, mikataba ya bomba la Gesi, ujenzi wa reli, ukarabati wa bandari , Chato international Airport, ununuzi wa kivuko cha Dsm - Bagamoyo, hoja zipo nyingi haziwezi kuisha na usidhani kero za kwenye kampeni zitaachwa hivi hivi kisa kero zipo Chato.
 
Wapinzani wa awamu ya Rais Magufuli kwa sasa wamebaki ku-recyle hoja zile zile kutokea wakati wa kampeni za Uchaguzi Mkuu.

Mbaya zaidi hata hoja hawana na walichobaki nacho ni vijembe vya kupitishia siku kwa wafuasi wao wenye akili za kudeki barabara.

Hii hoja ya Traffic light imekuwepo tokea kipindi cha kampeni za Uchaguzi Mkuu 2015.

Hizi ni hoja za kupitishia siku ambazo ukiamka kesho unakuwa umesahau jana alisema/aliandika nini?

Upinzani wa awamu ya Rais Magufuli unasikitisha sana!

Kwa sasa neno ufisadi katika midomo yao ni kama Paka na panya.
Ngoja nilitamke mimi,Tunahitaji Ufisadi kuuzwa nyumba za serikali uwekwe wazi!
 
magufuli ni mchumia tumbo km walivoccm wote....ameshindwa na ama amedanganya kila alichowahi kusimamia
1. Samaki wa magufuli alishindwa na kuliinhizia taifa hasara kubwa
2. Lugumi hiyo yeye yumo na imemshinda hawezi kujichukulia hatua
3. Kivuko kibovu alileta yeye wala hajajikamata na kujishitaki
4. BASHITE tu amemshinda sembuse Marais waliopita ambao alishasalimu amri hadi kuteua mke wa rais kuwa mbunge
5. Hajaweka mezani mkataba wa chatointernational airport???!!
6. Yeye binafsi hajaweka wazi mkataba wa bormberdier watz wanajua dili alizofanya yeye binafsi....
7. Hajaonesha hata nukta ya uzalendo kwa yale ambayo yeye binafsi ameshinikiza na kupazimishwa yafanyike.
8. Watz mtachezeshwa sn shere na ccm hukumnawalaumu wazungu na wachina kwa kiwaibia wkt wezi wenu ni ccmmnaowachekea
9-kampiga mimba mdogo wake mama jesca. 10- kuna bilion 251 zilipotea wizara ya ujenzi kwa kuwalipa makandarasi Hewa.
 
Ngoja nilitamke mimi,Tunahitaji Ufisadi kuuzwa nyumba za serikali uwekwe wazi!
magufuli binafsi alijiuzia nyumba kadhaa kienyeji zingine akawagawia hawala na ingine akamuuzia mdogo wake kinda kabsa.
 
Msigwa=Ni mtu anaye sengenywa kwa kisukuma, maana yake wakati anazaliwa walimpatia jina la kisengenyaji na ndiyo maana usengenyaji na unafiki na uongo ni jadi yake, na diyo maana alikimbia hata kuhubiri kwa sababu alikosa waumini kwa sababu ya kusengenya kwa sababu yeye ni msengenyaji.

Kwani Msingwa ni Msukuma?, acha kukariri wewe
 
Wapinzani wa awamu ya Rais Magufuli kwa sasa wamebaki ku-recyle hoja zile zile kutokea wakati wa kampeni za Uchaguzi Mkuu.

Mbaya zaidi hata hoja hawana na walichobaki nacho ni vijembe vya kupitishia siku kwa wafuasi wao wenye akili za kudeki barabara.

Hii hoja ya Traffic light imekuwepo tokea kipindi cha kampeni za Uchaguzi Mkuu 2015.

Hizi ni hoja za kupitishia siku ambazo ukiamka kesho unakuwa umesahau jana alisema/aliandika nini?

Upinzani wa awamu ya Rais Magufuli unasikitisha sana!

Kwa sasa neno ufisadi katika midomo yao ni kama Paka na panya.
Hoja zao zina mashiko au hazina? Jambo likiwa lenye mantiki haliachwi mpaka mwafaka upatikane
 
Ningemwelewa Magufuli na ccm yake kama "kero" zote zingepewa uzito sawa ktk kuzishughulikia.

Mikataba yote ingechunguzwa(madini,Rada,Escrow,Ndege,Mv.Bagamoyo,Nyumba,n.k.)

Lakini kitendo cha kusema " hicho ni kifaa cha jeshi kisizungumziwe ni " unafiki" wa kupindukia. Hakuna maelezo mengine zaidi ya " upendeleo,kujihami na uonevu" kwa wanaotuhumiwa.

Mwl. Nyerere kaongoza(si kutawala) kwa muda mrefu sana. Licha ya uchumi kutokuwa mkubwa kivile hakuwahi kupendelea kwao kama huyu aliye na mwaka mmoja na ushei! Ni ajabu watu wanamfananisha naye( sijui kwa lipi).

Katiba,iliyo mpa nafasi hiyo bado anashindwa/hataki kuiheshimu. Na kwa vile watanzania ni watu wa matukio na si ajenda za kitaifa tunaona ni sawa tu. Itakapofikia hatua akanogewa na kutaka zaidi labda ndo tutagutuka.

Kifupi,kati ya marais wenye kutoa mfano mbaya kwa viongozi vijana ni huyu! Ndo maana Leo hii kila siku tunasikia na kushuhudia ma-dc,rc wanafanya vituko kama vile wako maabara ya biolojia wakichezea binadamu wenzao kama wanafunzi wafanyavyo na vyura/panya!
 
ukimaliza hizo buku 3 ulete na utetezi wa chato international airport kisha baadae uje na wa B ormberdier we si umeamua kujitoa akili zako zote na kubaki BASHITE
Tumia reasoning yenye kueleweka, mosi yakwamba tambua taa siyo zakuongozea magari tu pekee bali nawatu pia hasa sehemu wanayokatiza barabara watu wengi wakiwemo wanafunzi wadogo.

Pili fuatilia ujue hizo taa ziliwekwa lini na nani.

Tatu airport sio lazima ikae kwenye majijiji, kwa akili yako hiyo ndo maana Dar ni mji uliorundikana mvua kidogo mafuriko. Airport siyo lazima iwe na ndege za abiria tu kuna strategic cargo airport zinajengwa hata porini
 
Kwani traffic light ili ziwe justifiable kunatakiwa kuwe na nini?

Lazima kuwe na flows of traffic. Kazi ya traffic lights ni ku-control hizo flows ili kuepusha ajali na congestion ambazo zita-hamper movements.

Sasa kwa hapo Chato, kuna traffic kweli ya kuhitaji traffic control system?

Mbona Dar traffic nyingi hua wana disregard polisi anasimama barabarani anaanza kuongoza magari hapo inakuwa vipi? ni je justifiable ama siyo kwa DAR kuwa na traffic light sehemu ambapo polisi anaamua kuachana na traffic light?

Siyo Dar tu, hata Ulaya na Marekani, ambako kuna best traffic lights control systems, kuna nyakati traffic policemen utumika. Haswa nyakati za rush hours, ama kama kuna special events/incidences ambazo automated traffic control haiwezi kuwa effective/feasible.

Maana ya traffic light siyo magari tu ndiyo traffic, hata waenda mguu na waendesha baiskeli nao ni traffic.

Unaelewa maana ya traffic kweli? Traffic inamaanisha "The aggregation of things (pedestrians or vehicles) coming and going in a particularlocality during a specified period of time"

Sasa itakuwa ni maajabu wa Millennia kuweka traffic light control system kwa ajili ya pedestrians na baiskeli tu! Maana Chato hakuna hiyo aggregation ya vehicles, yenye kuhitaji kuwa na automated traffic control system.

Ili ku coodinate namna na wakati gani mwenda mguu ama baiskeli anakatisha barabara ndiyo hua kuna traffic light za kusimamisha upande mmoja. Japo inaweza tumika zaidi kama wewe unavyofikiria kuwa ndokazi pekee ya traffic light.

Yaani hapo Chato kuna waenda kwa miguu na waendesha baiskeli maelfu mpaka wahitaji kuweka traffic light ili ku-control movements zao? Mbona watu mnajitoa ufahamu hivi ili tu kumtetea mtukufu?
 
Lazima kuwe na flows of traffic. Kazi ya traffic lights ni ku-control hizo flows ili kuepusha ajali na congestion ambazo zita-hamper movements.

Sasa kwa hapo Chato, kuna traffic kweli ya kuhitaji traffic control system?



Siyo Dar tu, hata Ulaya na Marekani, ambako kuna best traffic lights control systems, kuna nyakati traffic policemen utumika. Haswa nyakati za rush hours, ama kama kuna special events/incidences ambazo automated traffic control haiwezi kuwa effective/feasible.



Unaelewa maana ya traffic kweli? Traffic inamaanisha "The aggregation of things (pedestrians or vehicles) coming and going in a particularlocality during a specified period of time"

Sasa itakuwa ni maajabu wa Millennia kuweka traffic light control system kwa ajili ya pedestrians na baiskeli tu! Maana Chato hakuna hiyo aggregation ya vehicles, yenye kuhitaji kuwa na automated traffic control system.



Yaani hapo Chato kuna waenda kwa miguu na waendesha baiskeli maelfu mpaka wahitaji kuweka traffic light ili ku-control movements zao? Mbona watu mnajitoa ufahamu hivi ili tu kumtetea mtukufu?

Kwahiyo nini maana ya aggregation of things kwa mtizamo wako? Nafahamu utakachokua unaamini ili nikusaidie kabla hujaandika ni:

Traffic on roads consists of road users including pedestrians, ridden or herded animals, vehicles, streetcars, buses and other conveyances, either singly or together, while using the public way for purposes of travel
 
Back
Top Bottom