Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 52,737
- 165,197
Ukweli kuhusu Kiongozi huyu Wa wanyonge TARATIBU unaanza kudhihirika , Chato hapa,Punda wakipata Huduma ya traffic lights
Kwani za Richmond ni za lini?Wapinzani wa awamu ya Rais Magufuli kwa sasa wamebaki ku-recyle hoja zile zile kutokea wakati wa kampeni za Uchaguzi Mkuu.
Hii hoja ya Traffic light imekuwepo tokea kipindi cha kampeni za Uchaguzi Mkuu 2015.
Hizi ni hoja za kupitishia siku ambazo ukiamka kesho unakuwa umesahau jana alisema/aliandika nini?
Unamfahamu katibu mkuu wa wizara ya fedha ?Dikteta uchwara kachota bilioni 100 bila idhini ya Bunge na kwenda kujenga traffic lights Chato!
I wish I could be Minister of Finance & Speaker of the parliament.
Kwani magufuli sio fisadi? uliza wanaomjua vizuriWapinzani wa awamu ya Rais Magufuli kwa sasa wamebaki ku-recyle hoja zile zile kutokea wakati wa kampeni za Uchaguzi Mkuu.
Hii hoja ya Traffic light imekuwepo tokea kipindi cha kampeni za Uchaguzi Mkuu 2015.
Hizi ni hoja za kupitishia siku ambazo ukiamka kesho unakuwa umesahau jana alisema/aliandika nini?
Upinzani wa awamu ya Rais Magufuli unasikitisha sana!
Kwa sasa neno ufisadi katika midomo yao ni kama Paka na panya.
Kwa mfano ni ipi aliyoileta bila kufikiria ?Salary Slip utachanganyikiwa, ukikaa kimya unapungukiwa na nini ?
Kila kukicha ni thread kha!
Ina onesha hata thread zingine haufikirii katika uandalizi wake, wewe una post tu duh!
Mbeba mabox za siku nyingi??Dikteta uchwara kachota bilioni 100 bila idhini ya Bunge na kwenda kujenga traffic lights Chato!
I wish I could be Minister of Finance & Speaker of the parliament.