Malkia bora
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 765
- 524
Ulitaka wafanye nini kama wako jela. Wananchi tunawaona na tutawageuzia hicho kipigo. 2020 njoo haraka
Kwa mfano ni ipi aliyoileta bila kufikiria ?
Mie naona ni story kwa sababu taa za kuongozea magari huwekwa sehemu zenye magari mengi au msongomano wa magari. Sasa hakuna magari mengi, kuna punda huoni kuwa ni story. Waulize waandishi wa habari watakueleza. Mbwa kumuuma binadamu si habari, bali binadamu kumuuma mbwa meno ni habari. Wewe unaishi dunia gani?Salary Slip utachanganyikiwa, ukikaa kimya unapungukiwa na nini ?
Kila kukicha ni thread kha!
Ina onesha hata thread zingine haufikirii katika uandalizi wake, wewe una post tu duh!
Haka kapuuzi inamaana hakataki miundombinu ya Chato iboreshwe?
Ni tafisiri tu.Ni kama yule jamaa mwenye njaa a.k.a pascali mayala (manjaa), na yeye siku zote ana njaa akijazwa vipesa kidogo tu anageuka kama upepo kwa sababu ana njaaUna maana kwamba kwa sasa Tanzania inaendeshwa kwa mila za kisukuma ?
Nadhani hapa tofauti ni tafsiri tu, still hili la Chato na traffic lights nao ni ufisadi tu, na wala haiwezi kuwa ni hoja ya kupitisha siku kama tunataka kuwa wazalendo!Wapinzani wa awamu ya Rais Magufuli kwa sasa wamebaki ku-recyle hoja zile zile kutokea wakati wa kampeni za Uchaguzi Mkuu.
Mbaya zaidi hata hoja hawana na walichobaki nacho ni vijembe vya kupitishia siku kwa wafuasi wao wenye akili za kudeki barabara.
Hii hoja ya Traffic light imekuwepo tokea kipindi cha kampeni za Uchaguzi Mkuu 2015.
Hizi ni hoja za kupitishia siku ambazo ukiamka kesho unakuwa umesahau jana alisema/aliandika nini?
Upinzani wa awamu ya Rais Magufuli unasikitisha sana!
Kwa sasa neno ufisadi katika midomo yao ni kama Paka na panya.
Mnalazimisha ukabila lakini kamwe hamtofanikiwa. Tanzania hii ni ya wetu sote.Una maana kwamba kwa sasa Tanzania inaendeshwa kwa mila za kisukuma ?
Mkuu hua nakuona kama mtu anaejua kujenga hoja kumbe hamna kitu kabisa. Unasema hoja ya trafic light ni hoja ambayo imekuwepo toka uchaguzi na watu wamekua waki-recycle hoja lakini wewe humu kila siku unazungumzia ufisadi wa richmond na Lowassa, je hizo ni tuhuma za jana?Wapinzani wa awamu ya Rais Magufuli kwa sasa wamebaki ku-recyle hoja zile zile kutokea wakati wa kampeni za Uchaguzi Mkuu.
Mbaya zaidi hata hoja hawana na walichobaki nacho ni vijembe vya kupitishia siku kwa wafuasi wao wenye akili za kudeki barabara.
Hii hoja ya Traffic light imekuwepo tokea kipindi cha kampeni za Uchaguzi Mkuu 2015.
Hizi ni hoja za kupitishia siku ambazo ukiamka kesho unakuwa umesahau jana alisema/aliandika nini?
Upinzani wa awamu ya Rais Magufuli unasikitisha sana!
Kwa sasa neno ufisadi katika midomo yao ni kama Paka na panya.
nikikumbuka kauli yake juu ya lowasa siku za nyuma..nataman kumpima akiliwe jamaa utakufa kwa chuki zako dhidi ya jpm!
Mtoto wa mama mdogo....Unamfahamu katibu mkuu wa wizara ya fedha ?
Hata kama huoni basi hata kupapasa huwezi ?Mnalazimisha ukabila lakini kamwe hamtofanikiwa. Tanzania hii ni ya wetu sote.
Tuko tayari kushirikiana na yeyote anayeweza kusaidia chochote kitakachowezesha kung'oa ccm madarakani .nikikumbuka kauli yake juu ya lowasa siku za nyuma..nataman kumpima akili
Hahahahah jamaa itakuwa anavunja glasi huko aliko azirusha ukutani kwa mihasira yake hahahaha
sio kwamba ccm haiwezi ng'oka,ila ing'ooke aingie nani?!..ccm itatawala kwa uhakika ndani ya miaka 30 ijayoTuko tayari kushirikiana na yeyote anayeweza kusaidia chochote kitakachowezesha kung'oa ccm madarakani .
Acheni ukabila.Hata kama huoni basi hata kupapasa huwezi ?