Consigliere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 12,037
- 24,595
Ukiwa Chamani kwetu au popote pale siasani, hakuna lisilowezekana.Mtu kama Ndugai sijui hata alipataje ule uspika
Ukiwa Chamani kwetu au popote pale siasani, hakuna lisilowezekana.Mtu kama Ndugai sijui hata alipataje ule uspika
Kwa ishara hii kutoka Kwa Mch Msigwa, ni ishara ya kukubali kuwa anayo mambo mengi machafu ambayo huwa anayafanya, na kwa kuwa wengi wa wanasiasa kila mmoja anamzigo wake na madhambi yake, basi kila mtu hulazimika kutunza Siri za mwenzake kuhofia pia kufichuliwa maovu na madhambi yake
Kwa hiyo, Ili tujue uovu wa Ndugai, ni lazima Ndugai aseme uovu wa Msingwa Mch, kuna haja gani SASA ya kumdhihaki Nkurunzinza Kwa Yale ambayo tunayafahamu, tukaponda Sana na kusema sana juu Nkurunzinza ili Hali Sisi tuna uozo mkubwa usiyojulikana Kwa wengi
Mimi huwa nawashangaa watu kujitokeza hadharani kuponda mienendo ya watu wengine utadhani wao ni watakatifu kweli, kumbe ni upumbavu uliopitiliza
Ukiwaona machoni ni kama watu, wanaongea Hadi mate yanatoka, wananukuu na Mandiko kutoka vitabu vitakatifu kumbe matendo Yao ni hivyo hovyo Tu
Magufuli tupeleke hivyohivyo, tulishachoshwa na wazandiki wazushi na hawalitakii mema Taifa letu,
Mwingine kalewa kaanguka, kuamka Anasema amepigwa na watu wasiojulikana
Pumbavu kabisa
Kama lijualikali tayari keshavua joho la hekima na kalivaa la ushetani na akili zishamruka kabisa, kabla hata hajafika getini.
Nguvu za giza mkuuMtu kama Ndugai sijui hata alipataje ule uspika
Kwako Ndugai ndiye anaaminikaMsigwa haaminiki,hana jipya
aliweza kumpakazia Kinana na akaja kuomba msamaha kwa aibu..
Hivi msigwa nae ni presidential material huyu?Mtu kama Ndugai sijui hata alipataje ule uspika
Huyo anatafuta huruma ya ccm huko kilomberoKama lijualikali tayari keshavua joho la hekima na kalivaa la ushetani na akili zishamruka kabisa, kabla hata hajafika getini.
Msigwa ana Matango pori tuu. Suala la mzee Kinana ni moja ya uzushi mwingi anaozusha dhidi ya watu. Nchi hii ina viongoz wa ajabu Sana. Imagine Msigwa na Sabufa ndio wapanga bajeti ya nchi, no wonder tunaitwa shit hole.Naunga mkono hoja.
Mchungaji Msigwa funguka......ila isiwe kama faili la Kinana!
Huwezi kujua sababu ww haupo mjengoniMtu kama Ndugai sijui hata alipataje ule uspika
Wewe unamuona yupo timamu?Huwezi kujua sababu ww haupo mjengoni
Kinana kamsamehe kaanza tena kwa ndigaiKaandika hivi kupitia mtandao wa twitter:
Spika jana ametishia kwamba eti ana faili la mambo yangu mengi, hawezi kunifunga mdomo nisifanye kazi yangu ya Kibunge. Kama ni faili hata mimi ninalo lake akimsema vibaya Mkuu na nikifunguka hata huko kujipendekeza kwake hataaminika tena. Niguse ninuke!
Mie sina utalaam wa magonjwa ya akili. Namuona yuko sawaWewe unamuona yupo timamu?
Watanzania ndio tatizo.Mtu kama Ndugai sijui hata alipataje ule uspika
File kama la kinana.Kaandika hivi kupitia mtandao wa twitter:
Spika jana ametishia kwamba eti ana faili la mambo yangu mengi, hawezi kunifunga mdomo nisifanye kazi yangu ya Kibunge. Kama ni faili hata mimi ninalo lake akimsema vibaya Mkuu na nikifunguka hata huko kujipendekeza kwake hataaminika tena. Niguse ninuke!
Hasira zote ni baada ya spika kusema Mbowe alikuwa amelewa chariii. Yaani tweet nayo ni ushahidi? Una uhakika gani kama ni Msigwa. Na kama anamsena vibaya kwa nini asiseme?Kaandika hivi kupitia mtandao wa twitter:
Spika jana ametishia kwamba eti ana faili la mambo yangu mengi, hawezi kunifunga mdomo nisifanye kazi yangu ya Kibunge. Kama ni faili hata mimi ninalo lake akimsema vibaya Mkuu na nikifunguka hata huko kujipendekeza kwake hataaminika tena. Niguse ninuke!