Msigwa: Hata mimi nina faili la Spika akimsema vibaya "Mkuu"

Kweli we n zumbukuku
Kwa ishara hii kutoka Kwa Mch Msigwa, ni ishara ya kukubali kuwa anayo mambo mengi machafu ambayo huwa anayafanya, na kwa kuwa wengi wa wanasiasa kila mmoja anamzigo wake na madhambi yake, basi kila mtu hulazimika kutunza Siri za mwenzake kuhofia pia kufichuliwa maovu na madhambi yake

Kwa hiyo, Ili tujue uovu wa Ndugai, ni lazima Ndugai aseme uovu wa Msingwa Mch, kuna haja gani SASA ya kumdhihaki Nkurunzinza Kwa Yale ambayo tunayafahamu, tukaponda Sana na kusema sana juu Nkurunzinza ili Hali Sisi tuna uozo mkubwa usiyojulikana Kwa wengi

Mimi huwa nawashangaa watu kujitokeza hadharani kuponda mienendo ya watu wengine utadhani wao ni watakatifu kweli, kumbe ni upumbavu uliopitiliza

Ukiwaona machoni ni kama watu, wanaongea Hadi mate yanatoka, wananukuu na Mandiko kutoka vitabu vitakatifu kumbe matendo Yao ni hivyo hovyo Tu

Magufuli tupeleke hivyohivyo, tulishachoshwa na wazandiki wazushi na hawalitakii mema Taifa letu,

Mwingine kalewa kaanguka, kuamka Anasema amepigwa na watu wasiojulikana

Pumbavu kabisa
 
Kwa sifa za kibwege, kizembe na kiboya wanazoziimba kila uchao, ukizichukua na kuzigeuz utayaona vizuri matusi katika sifa hizo.
 
Naunga mkono hoja.

Mchungaji Msigwa funguka......ila isiwe kama faili la Kinana!
Msigwa ana Matango pori tuu. Suala la mzee Kinana ni moja ya uzushi mwingi anaozusha dhidi ya watu. Nchi hii ina viongoz wa ajabu Sana. Imagine Msigwa na Sabufa ndio wapanga bajeti ya nchi, no wonder tunaitwa shit hole.
 
Kaandika hivi kupitia mtandao wa twitter:

Spika jana ametishia kwamba eti ana faili la mambo yangu mengi, hawezi kunifunga mdomo nisifanye kazi yangu ya Kibunge. Kama ni faili hata mimi ninalo lake akimsema vibaya Mkuu na nikifunguka hata huko kujipendekeza kwake hataaminika tena. Niguse ninuke!
Kinana kamsamehe kaanza tena kwa ndigai
 
Mtu kama Ndugai sijui hata alipataje ule uspika
Watanzania ndio tatizo.
Kuna majitu yameachiwa yakapenyapenya sasa yana uwezo wa kuichezea NCHI.
Bunge letu limekuwa kama darasa la chekechea.
Halafu wanatutambia kama mafarao na kuna watu ETI wanashangilia wanavyo tupeleka SHIMONI.
 
Kaandika hivi kupitia mtandao wa twitter:

Spika jana ametishia kwamba eti ana faili la mambo yangu mengi, hawezi kunifunga mdomo nisifanye kazi yangu ya Kibunge. Kama ni faili hata mimi ninalo lake akimsema vibaya Mkuu na nikifunguka hata huko kujipendekeza kwake hataaminika tena. Niguse ninuke!
File kama la kinana.
 
Kaandika hivi kupitia mtandao wa twitter:

Spika jana ametishia kwamba eti ana faili la mambo yangu mengi, hawezi kunifunga mdomo nisifanye kazi yangu ya Kibunge. Kama ni faili hata mimi ninalo lake akimsema vibaya Mkuu na nikifunguka hata huko kujipendekeza kwake hataaminika tena. Niguse ninuke!
Hasira zote ni baada ya spika kusema Mbowe alikuwa amelewa chariii. Yaani tweet nayo ni ushahidi? Una uhakika gani kama ni Msigwa. Na kama anamsena vibaya kwa nini asiseme?
 
Mimi ni kijani na muumini wa Mkulu tu wengine wote ccm ni kina Nkurunzinza tu wachumia tumbo ila nakiri kwa dhati ya moyo wangu supika wetu ni mtu asie na maarifa wala akili zaidi ya ile ya kuvukia barabara tu kama ilivyo desturi nyingi za kabila lake wanaokupigia kura ya ubunge kwa kuwanywesha pombe ya wiki nzima baada ya kuwatosa miaka mitano, supika ASINA MAHALA! hapa nimesema kilugha chake!

nilishtuka na kuona aibu sana nilimsikia mimi mwenyewe Supika Nduguye akitamka huyu Msigwa always hana lolote analoweza kuongea zaidi ya kukurupuka tu! ukiwa Speaker wewe ni Neutral au Refa hupaswi kutukana wabunge wa upinzani yani lijitu limekalia kiti kikubwa lisichojua kazi yake nina uhakika nchi hii ni maskini for five centuries kwa kuwa na viongozi wengi wa juu ambao ni wajinga! Plato anasema katika ugiriki nchi iongozwe na watu wenye akili ‘philosophers’! watu wanaoweza kufikiria vizuri!! bahati mbaya sisi tunae Philosopher mmoja tu Mkulu wengine wote serikali nzima ulimi nje Mkulu anawakimbiza jogging kali vijana kwa wazee wote majasho kama yote hoi!
 
Back
Top Bottom