minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 21,640
- 20,366
Tokea Ndungai apige ile bilion 12 akaona kuna kesi mbele yake kaamua kujitoa fahamu ni mwendo wa kumsifia mtukufu saa zote hata akiwa ndotoni na endapo atakuja kuwa spika tena lazima atabadili katiba iwe kama chini ambapo Rais anakuwa wa milele mpaka akizeeka na kustaafu mwenyewe kwa Mapenzi yake kama afanyavyo papa john paul wa piliDuh...!.
P