Msidhani wote tunapapatikia hilo

EVERYTHING VALUABLE IS CHEAP.
 
Nikweli alinitia khelbu kwenye hadharani, ila sikujuwa kama angekuja hadi kuntangaza huku wallahi....
 
Njoo bhana, bhati bado ni yako tu.....teh
Kagari kabaya hivo Mimi nitaringishia nini mashost?[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13].
Nilikuwa njiani kuja piem ila nimegeuza kama sina akili nzuri.
 
kweli wanawake ni viumbe wenye huruma sana, hatimaye na sisi tusio na magari mmetukumbuka[emoji120]..
 
Yaan uingiziwe ukuni kama huu muhogo af nikupende subuutuu
 
Kweli mimi nikipita barabarani badala ya kutaka nipewe lift natamani liwe langu .
Leo kuna mwingine anaendesha kama namtaka amesubiri nimsimamishe akaona sina muda akaondoka .
Wakaka sasahivi asilimia kubwa ya wanawake na wadada tunataka vyetu.
So kusumbuliwa na watu ovyo hatuwezani na nyie poleni.
Mmechelewa kuwa na magari enzi za mwalimu.
Kipindi cha mkapa na kikwete ukisikia gari huwazi hata je saivi utawaza kwa lipi?
Gari sio lako unalipapatikia ya nini wazaga mbele unatifuliwa tifuliwa kama nyanya iliyoiva halafu unapondwa pondwa unatupwa kule wala hupewi cha maana kitu cha raha nikupata lako.
 
Mhhh
 
Naona kwenye umaliziaji umesisitiza sana mambo ya kunyanduana tupu...
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…