Msichana wangu hapendi kushikwa kiuno

Msichana wangu hapendi kushikwa kiuno

Habari zenu wakuu,
mimi nina mchumba wangu ambaye tunatarajia kufunga ndoa. Lakini kuna jambo moja dogo sana ambalo kwakweli huwa simuelewi yaani hapendi nimshike kiuno kitu ambacho mimi napenda nijivunie kwake.

Yaani nikimshika tu tunapokuwa matembezi au hata kwenye tukio kama harusi huwa hapendi na anawahi sana kutoa mkono. Sasa najiuliza kwanini awe hivyo?

Na naomba niwaulize wasichana/wanawake hivi unajisikiaje unaposhikwa kiuno na mpenzi wako au mume?
Anaogopa jamaa yake akiona itakua msala!kwako anapita tu
 
....mapenzi bhana!!!....atakuwa tu mtu asie na umagharibi, HAWI comfortable ukimshika!!!....simple like that.

Acha ku-complicate mambo, Relax....
 
HAAAAKKKUUUPEEENDDDIIII!!! Yupo na wewe kupoteza upweke
 
Malezi yake yalikuwa mazuri na wasichana wa aina hiyo wanazaliwa wachache sana katika zama hizi za Instagram.
 
Habari zenu wakuu,
mimi nina mchumba wangu ambaye tunatarajia kufunga ndoa. Lakini kuna jambo moja dogo sana ambalo kwakweli huwa simuelewi yaani hapendi nimshike kiuno kitu ambacho mimi napenda nijivunie kwake.

Yaani nikimshika tu tunapokuwa matembezi au hata kwenye tukio kama harusi huwa hapendi na anawahi sana kutoa mkono. Sasa najiuliza kwanini awe hivyo?

Na naomba niwaulize wasichana/wanawake hivi unajisikiaje unaposhikwa kiuno na mpenzi wako au mume?
She is fridged!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom