Msichana wangu anataka kuja Nyumbani kunitolea Mahari

Msichana wangu anataka kuja Nyumbani kunitolea Mahari

Old Member (Retired)

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2012
Posts
3,401
Reaction score
1,618
Ni demu wangu wa muda mrefu, sasa imefikia mahari tunahitaji kufunga ndoa.

Anasema kwa mila zao (mhindi) wao mwanamke ndio anatakiwa kutoa mahari kwa mwanaume.

Binafsi naona kama hizo ni dharau, mimi nimeona anataka kunidharilisha. Nayeye hataki kabisa niende kwao kumtolea mahari.

Anataka wazazi wangu mpangie mahari namimi nataka wazazi wake wanipangie mahari, hapo ndipo tunapishana.

Imagine, mtaani kwetu kuna kuwa kuna sherehe watu wanasema "tulikuwa tunapokea mahari ya SUPU YA MAWE " hahahaha
 
Mwache tu aje kukutolea mahali, yeye akishatoa mahali yako itakuwa zamu yako kumtolea mahali kwa wazazi wake, ngoma draw mnaendelea na mipango ya harusi.
 
  • Thanks
Reactions: Mpu
mahali hapo atapatoa ktk shamba au kiwanja cha urithi alichopewa au mahali hapo anapotaka kukutolea amepanunua,au ni mimi sijaelewaa???😕😕😕
 
Last edited by a moderator:
Ni demu wangu wa muda mrefu, sasa imefikia mahali tunahitaji kufunga ndoa.

Anasema kwa mila zao (mhindi) wao mwanamke ndio anatakiwa kutoa mahali kwa mwanaume.

Binafsi naona kama hizo ni dharau, mimi nimeona anataka kunidhalilisha. Nayeye hataki kabisa niende kwao kumtolea mahali.

Anataka wazazi wangu mpangie mahali namimi nataka wazazi wake wanipangie mahali, hapo ndipo tunapishana.

Imagine, mtaani kwetu kuna kuwa kuna sherehe watu wanasema "tulikuwa tunapokea mahali ya SUPU YA MAWE " hahahaha

sawa. madhui ya hadithi yetu hii ni yepi tena?
 
Last edited by a moderator:
Naomba unialike nihudhurie sherehe yako ya kiolewa.
 
Aiseee, taratiibu na vyombo utaosha,chakula utapika,mtoto utalea na kunyolewa pia
 
Ni demu wangu wa muda mrefu, sasa imefikia mahari tunahitaji kufunga ndoa.

Anasema kwa mila zao (mhindi) wao mwanamke ndio anatakiwa kutoa mahari kwa mwanaume.

Binafsi naona kama hizo ni dharau, mimi nimeona anataka kunidharilisha. Nayeye hataki kabisa niende kwao kumtolea mahari.

Anataka wazazi wangu mpangie mahari namimi nataka wazazi wake wanipangie mahari, hapo ndipo tunapishana.

Imagine, mtaani kwetu kuna kuwa kuna sherehe watu wanasema "tulikuwa tunapokea mahari ya SUPU YA MAWE " hahahaha

Mwambie "NEHI"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom