Msichana wako wa kazi unamlipa ngapi?

Msichana wako wa kazi unamlipa ngapi?

Kama usiku unamnyatia makoridoni utamlipa shs ngapi?

Unamlipa 30,000/= Hadharani.
halafu kila week unamtoa kiushkaji( mama asijue) mfano 10,000/= au 5,000/= kutegemea na hali.:A S wink:
 
hg namlipa tsh 25000/=
Mlinzi wa nyumba/getini tsh 100,000/=
Mishahara hii ni kwa mwezi
 
Fastjet unaweza kukaa na mtu anakula miwa. Sema lokeshen helikopta ya Ndesamburo ikufuate fasta.

....duh, eti unakaa na mtu anakula mida,lol! Bora huyu, unakaa na mtu kabeba bata.

Asprin wewe ni pilot!?
 
Last edited by a moderator:
mie 30 iĺa nampunguzia iwe 20 hawezi kazi ni kama namtunza tu
 
....duh, eti unakaa na mtu anakula mida,lol! Bora huyu, unakaa na mtu kabeba bata.

Asprin wewe ni pilot!?

Hahahah mi si pilot ila fastjet haina tofauti na daladala za vijijini. Nimeambiwa.
 
Last edited by a moderator:
Huwa sielewi mtu kumlipa house girl elfu 30 halafu unasema hawezi kufanya kazi na maneno mengi kibao. Hivi kweli hicho kiasi kinatosha kwa mtu anayekutunzia watoto, mume na ndugu? Mtu ambaye anaweza hata kukuwekea sumu katika vyakula anavyoandaa na ikakutafuna taratibu, lakini kwa uaminifu hawezi. Jamani tumwogope Mungu. Kama huwezi kumlipa mtoto wa watu ni bora usiajiri kabisa.
 
Back
Top Bottom