Msichana Mfupi kuliko Wote Duniani

kila binadamu huumbwa na Mungu na kisha huletwa duniani. tumshukuru Mungu kwa uumbaji wake.
 
Muda si Mrefu Mijitu itaanza kukichakachua.......

Na kenyewe katahitaji ati ehhhh.........
 
binadam tumeumbwa tofaut tofaut ni bora huyo anaonekana kuliko wengine wapo ok ila mawazo na akili zao kama kin.......esi hiv
 
Hakika maajabu ni mengi! nigependa kujuwa taaluma yake vipi? Hebu eleza historia yake kwa kirefu. Kumbuka kuwa ufupi si ugonjwa! Unamkumbuka Andunje wa kitabu kile tulichosoma enzi hizo na KIbanga aliyempiga mkoloni? Kama hukisoma kitafute. :lalala:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom