Msichana kuwa makini unapokuwa hosteli (room)

Msichana kuwa makini unapokuwa hosteli (room)

Nawasalimu wana JF wote.

Kama kichwa cha habari kinavyoeleza, naomba kuwaasa wanafunzi hasa wa vyuoni wanapokuwa vyumbani kwao wawe makini. Wanachuo walio wengi aidha wawe hosteli za chuoni au za kupanga nje ya chuo huwa wanakaa zaidi ya mtu mmoja.

Umakini ninaouongelea hapa ni kwamba, usipende kukaa naked mbele ya wenzake hata kama ni wanawake wenzio, wala kukaa nusu uchi. Pia usipende kulala bila nguo halafu ukaacha kujifunika shuka au blanketi.

Athari ni kwamba, wenzio wanaweza kuwa sio watu wema, wanaweza kukupiga picha kwa siri sana wewe ukiwa hujui na kuanza kuzirusha kwenye mitandao ya kijamii, utadhalilika.

Nimemaliza.
uwiiiiiii basi tena nimeisha mimi[emoji27][emoji27]
 
Duh!!! Umenikumbusha kitu wakati nipo chuo/hostel rafiki yangu wa karibu alinipiga picha bila kujijua wakati niko busy kutafuta kitu kwa kabati yangu ya nguo,.looh ile picha nilikuja kuiona kwenye simu ya mpenzi wangu aseee;nilishtuka sana kwani nilikuwa niko nusu naked uzuri mpenzi wa mm alimjibu short and clear "OK,nimemuona"..maana yy alimwambia " umemuona bebi wako eeeh?" Mfyuuuuuu nakumbuka nilimsema sana na kumuonya tabia yake ya kishetani aliniomba msamaha na kusema hakufanya kwa maana mbaya..hayo yalipita na nilihakikisha ile pic inafutwa kwake na kwa mpenzi,sipendi ujinga na mwili wangu..

Tuwe makini kwakweli kuna watu wehu sana dunia hii.
 
Uko sahihi kabisa sasa hivi ukishaona picha imepostiwa na mtu mmoja basi jua itasambaa kwenye mitandao yote ya kijamii mfano juzi niliona video moja ya kibongo vijana wakifanya mapenzi ina ukubwa wa lisaa limoja na madakika kiukweli sijui wale vijana sura zao huwa wanazificha wapi.
Watakuwa kuzimu wale,hata mm niliiona ile video,.aibu na fedheha niliviona mimi mtazamaji[emoji20] [emoji21]
 
Boarding kulikua na mrembo mmoja yy nguo marufuku, akitoka kuoga taulo anatupa kule, atainama apake mafuta, dah alikua ananitatiza sana.
Pia kama mtu anapenda sana kukaa uchi uchi wenzake wanaweza kumfotoa na kusambaza picha makusudi ili wamkomoe, so ladies really you have to change that behaviour, not good hata kwa wenzenu maana wengine wanakua wamejaaliwa sana, lol.
 
Uko sahihi kabisa sasa hivi ukishaona picha imepostiwa na mtu mmoja basi jua itasambaa kwenye mitandao yote ya kijamii mfano juzi niliona video moja ya kibongo vijana wakifanya mapenzi ina ukubwa wa lisaa limoja na madakika kiukweli sijui wale vijana sura zao huwa wanazificha wapi.
Kweli mkuu hata Mimi niliona moja INA SAA moja na madakika imeandikwa mwanafunzi wa udom.
 
Boarding kulikua na mrembo mmoja yy nguo marufuku, akitoka kuoga taulo anatupa kule, atainama apake mafuta, dah alikua ananitatiza sana.
Pia kama mtu anapenda sana kukaa uchi uchi wenzake wanaweza kumfotoa na kusambaza picha makusudi ili wamkomoe, so ladies really you have to change that behaviour, not good hata kwa wenzenu maana wengine wanakua wamejaaliwa sana, lol.
Mkuu akiinama na nanilii ikiangalia nyuma c inakua tatzo kuu! Lkn kwa kua ww mdada huezi ona kama ni tatzo [emoji41][emoji41]
 
Shida ipo, ndio maana ile ikaitwa sehemu ya siri, sasa ikiwa wazi tena looh lazima mshtuko na mfadhaiko viwepo, lol
Ninachofaham kwa wanaume inaleta mkanganyiko kdg! Kwakua pia maumbile yanaleta ukakasi kdg! Ila wadada hua naona kma mpo huru sana ktk hili...ts possible wanaume wakakaa hata mwaka bila hata mmoja kuona kitu ya mwenzie hata kwa bahati mbaya! But wadada ts a matter of 2 days mko huru kukaa watupu mkiwa pa1!

Sasa hapo mfadhaiko unatokana na nn mkuu!? Am curious
 
Back
Top Bottom