Shost upo!! mbona leo umejibu kwa ufupi sana? au kwenye msafara wa rais huko Pwani? hahahahahok nimekuelewa
Mkuu hizi mambo zimeshamir kwa sasaKWANINI UPIGE PICHA ZA UCHI? HAYO NI MATATIZO YA KUJITAKIA... KABISA UNAVUA NGUO UNAPIGA PICHA, KWELI?
Kitandani analala peke yake ila wanakuwa wengi chumbani! japo kuna wakati inatokea hali ya kulala wawili wenyewe wanaita "Kubebana"KWANINI ULALE UCHI BILA NGUO WAKATI ULIOLALA NAYE SIYO MUMEO/MKEO?
HUU NI UPOROMOKAJI MKUBWA WA MAADILI.. HALAFU WASOMI WA SIKU HIZI BHANA, HIVI UNAMPIGAJE PICHA ZA UCHI MWENZAKO BILA RIDHAA YAKE NA KUTUMA MTANDAONI?
Tatizo ni kwamba hizo picha zinakuwa zinazunguka zinaweza hata kumfikia mzazi wa mwenye picha hizo!!!Biashara matangazo
Mkuu hizi mambo zimeshamir kwa sasa
Kitandani analala peke yake ila wanakuwa wengi chumbani! japo kuna wakati inatokea hali ya kulala wawili wenyewe wanaita "Kubebana"
hilo kweli ni tatizo haifai kulala naked ukiwa na wenzio!!! nimekukubali @likandambwasaNAJUA NDIYO KUBEBANA, NAYAJUA VIZURI MAISHA YA CHUO MAANA NIMEPITIA, LAKINI SWALI, KWANINI ULALE UCHI WAKATI MNALALA WENGI?
nipo buusy balaaShost upo!! mbona leo umejibu kwa ufupi sana? au kwenye msafara wa rais huko Pwani? hahahahah
hilo kweli ni tatizo haifai kulala naked ukiwa na wenzio!!! nimekukubali @likandambwasa
oooooooooooooooooooh!!! jamaniUko sahihi kabisa sasa hivi ukishaona picha imepostiwa na mtu mmoja basi jua itasambaa kwenye mitandao yote ya kijamii mfano juzi niliona video moja ya kibongo vijana wakifanya mapenzi ina ukubwa wa lisaa limoja na madakika kiukweli sijui wale vijana sura zao huwa wanazificha wapi.
Hongera shost, u busy ndio unaleta ugali, wajibika mwali. Ila uko addicted na JF pamoja na u busy lakini angalau unachungulia JF hahahahaaaaha.nipo buusy balaa
ni kweli Paprika uliyosema ni kweli tupu.Ushauri mzuri sana!
Mwenye sikio na asikie!
Ata mabafuni huko wanapojiachia...
Dunia imeharibika... Watu wanafurahia pale wenzake wanapoaibika
Ila nasikia "Dasilamu" kuna joto sana!!!!NAAM NI KWELI, KIMAADILI HUTAKIWI KULALA UCHI UNAPOLALA NA MTU AMBAYE SIYO MKEO/MUMEO, KWANZA NI AIBU KWA MTU ANAYEJIELEWA
Nawasalimu wana JF wote.
Kama kichwa cha habari kinavyoeleza, naomba kuwaasa wanafunzi hasa wa vyuoni wanapokuwa vyumbani kwao wawe makini. Wanachuo walio wengi aidha wawe hosteli za chuoni au za kupanga nje ya chuo huwa wanakaa zaidi ya mtu mmoja.
Umakini ninaouongelea hapa ni kwamba, usipende kukaa naked mbele ya wenzake hata kama ni wanawake wenzio, wala kukaa nusu uchi. Pia usipende kulala bila nguo halafu ukaacha kujifunika shuka au blanketi.
Athari ni kwamba, wenzio wanaweza kuwa sio watu wema, wanaweza kukupiga picha kwa siri sana wewe ukiwa hujui na kuanza kuzirusha kwenye mitandao ya kijamii, utadhalilika.
Nimemaliza.
Ohoooooo!!!Wanaofanya hayo hufanya makusudi na wanayapenda.
Aisee!!!! ni hatari kwa kizazi chetu cha miaka hiiWanaofanya hayo hufanya makusudi na wanayapenda.