Culture Me
JF-Expert Member
- May 24, 2017
- 10,494
- 21,453
Sijawahi na sitowahi kukaa uchi uchi eti mbele ya mwanamke mwenzangu kwa kisingizio kua nilichonacho nae anacho, no way,Ninachofaham kwa wanaume inaleta mkanganyiko kdg! Kwakua pia maumbile yanaleta ukakasi kdg! Ila wadada hua naona kma mpo huru sana ktk hili...ts possible wanaume wakakaa hata mwaka bila hata mmoja kuona kitu ya mwenzie hata kwa bahati mbaya! But wadada ts a matter of 2 days mko huru kukaa watupu mkiwa pa1!
Sasa hapo mfadhaiko unatokana na nn mkuu!? Am curious
Mimi hata kumtazama aliyekaa uchi uchi hua sipendi labda kwa sababu ya mazingira fulani,
sijui kwa wengine ila kwangu nikiona hua napata mfadhaiko, labda swali lirudi kwako ww ukimuona wa aina yako yupo kama vile unajisikiaje, lol (najua swali gumu hilo)
by the way 'Curiousity kill the cat', lol.