twenty2
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 296
- 32
wasina wengi wanaona kitendo cha kumjali au kumsaidia mpz wake ni kumuonga,mfano umetoka na mpz wako then ww msichana ukatoa uduma ya kila k2 kama chakula,vinywaji,even chumba then baada ya apo ukampa kdogo mpz wako fedha za kutumia, kwa msichana ni ongo akifanya mvulana si ongo kwann?