mm uwa siongi napenda kusaidiana,usimuache bwana kuwa mkweli kwa mpz wako kama una kitu mwambie usiogope na usipende kuongwa na sio kuongwa ni kusaidiana kama uwa unasema mpz wako anakuonga sio vzr.
warekibishe shossi we ndio malenga wetu.Anahonga au anaonga? lol napita tu....
warekibishe shossi we ndio malenga wetu.
Wanaume kama binti!Hiyo ni kusaidiana ila siku hz wanaume nao,...! Kwa mizinga ya vocha na kuomba misaada! Khaaa!
wanao fikiri na kusema hivyo ni wavivu wa kufikiria.....wasina wengi wanaona kitendo cha kumjali au kumsaidia mpz wake ni kumuonga,mfano umetoka na mpz wako then ww msichana ukatoa uduma ya kila k2 kama chakula,vinywaji,even chumba then baada ya apo ukampa kdogo mpz wako fedha za kutumia, kwa msichana ni ongo akifanya mvulana si ongo kwann?
hata mabinti tuna nafuu tunajibeba wenyewe.Wanaume kama binti!
hahahahahha umepigwa mizinga nini mpendwahata mabinti tuna nafuu tunajibeba wenyewe.
Umeniongelea yaliyo moyoni mwangu kabisa. Mie huwa nashangaa sana wanaume sijui mkoje/wakoje ukimfanyia hivyo taabu mtindo mmoja na atakutangaza vibaya yule mwanamke anahonga sana huwa najiuliza sipati majibu.
Sometimes unamuonea huruma hana kitu unamsaidia lakini atasema ha ha ha anahonga sana huyo mwanamke ngoja nimpigie atakuja anunue chakula vinwaji nk nachukia sana hii tabia kwa baadhi ya wanaume
shosti mizinga ya vocha hadi nimebadili line. Hahaha! Hv upo? Karibu mpwapwa.hahahahahha umepigwa mizinga nini mpendwa
tena hao wana ume ukiwa fanyia hivyo wana kuona *****, na huwezi kumkosa, ata chua advatages tena bcz una mfanyia ih san ,na pia ata kua ana kuongelea kwa washkaji zake kama demu wangu havunji hapindui, ana toa kila kitu, lazima wanawake tuwe ngangari awa vidume wa siku hizi,,,,,nmmmhh,
hahahahahah pole sana..nashukuru mpenzi wangu,ntakaribiashosti mizinga ya vocha hadi nimebadili line. Hahaha! Hv upo? Karibu mpwapwa.
Umeniongelea yaliyo moyoni mwangu kabisa. Mie huwa nashangaa sana wanaume sijui mkoje/wakoje ukimfanyia hivyo taabu mtindo mmoja na atakutangaza vibaya yule mwanamke anahonga sana huwa najiuliza sipati majibu.
Sometimes unamuonea huruma hana kitu unamsaidia lakini atasema ha ha ha anahonga sana huyo mwanamke ngoja nimpigie atakuja anunue chakula vinwaji nk nachukia sana hii tabia kwa baadhi ya wanaume
wasina wengi wanaona kitendo cha kumjali au kumsaidia mpz wake ni kumuonga,mfano umetoka na mpz wako then ww msichana ukatoa uduma ya kila k2 kama chakula,vinywaji,even chumba then baada ya apo ukampa kdogo mpz wako fedha za kutumia, kwa msichana ni ongo akifanya mvulana si ongo kwann?
Nimeipenda hiiKumbuka bado tuna taswira ya utamaduni wetu waliotufundisha mababu zetu yaani mwanaume yuko juu ya mwanamke..Yaani kitu unachosema ni sawa na kuwasimulia dada au ndugu wa kike wa mpenzi wako wa kiume ya kuwa mpenzi wako wa kiume anafua nguo zako za ndani..anapiga deki nyumba..anafangia na kunyonyesha watoto maziwa...subiri uone ndugu wa kike wa familia ya kiume watakavyokuja juu na kusema umemchezea kaka yao....(Note: Kwa upande wangu mimi binafsi..kama mwanaume sijali kufanya hayo..yaani nafanya sana)...Hivyo hoja uliyotoa ni positive kwa wanaume wenye mitazano ya miaka ya 47" na negative kwa wanaume wenye mitazamo ya kisasa..yaani wenye kuamini mwanaume na mwanamke ni sawa..