Ukiwakuta Roosevelt Island hao..., utafikiri si HG.
Kiranga unawaonaa eeeh....na wenyewe wamejivalia vikaptula wanajog by the river utadhani ndo maza house!
sasa hili jambo raisi linamhusu nini? si kuna wizara ya maendeleo ya jamii sijui ustawi wa jamii, yaani kesi kama hii ipelekwe kwa raisi, makubwa!
Hahaha, uwakute kwenye ki tram (hapo baba kaenda Turtle Bay) kaa watalii wako Alps huko.
Lakini on the real, muhimu kuwatafuta rafiki zake waseme alipo, tunaweza kusema kazamia kumbe mtoto wa watu amefariki au katekwa na ma bandido wa Ki-Chicano kawa sex slave in somebody's basement.
Scary thoughts.
Angekuwa mwanao ungechukulia kirahisi hivyo??? Mzazi wake analia vile hana hakika kama binti yake yuko hai au amekufa!