Ni huu niliohudhuria mazishi jana wa mzee Mapunda aliyekuwa posta na simu zamani hizo? Poleni sana wafiwa. Tuko pamoja kwenye kipindi hiki kigumu cha majonzi.ahsante sana mkuu, msiba upo Tegeta( dar es salaam) nitakujulisha utaratibu mkuu
Ni huu niliohudhuria mazishi jana wa mzee Mapunda aliyekuwa posta na simu zamani hizo? Poleni sana wafiwa. Tuko pamoja kwenye kipindi hiki kigumu cha majonzi.
Wakuu, Machi 29 niliweka habari hapa ya kuomba msaada wa kujua Daktari Bingwa ambaye angeweza kuwa msaada kumtibu baba yetu - https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/425631-msaada-wa-daktari-bingwa.html?highlight=.
Nasikitika sana yule baba yetu huyo kafariki baada ya kumpeleka Muhimibili kwa matibabu zaidi.
Tunashukuru sana kwa mchango wenu mliotupa hapa.
Asanteni.
Rip dad