Msiba

Mamndenyi

JF-Expert Member
Apr 11, 2011
40,603
52,317
Wana jamii wote heshima mbele. mchungaji osca wa kkkt usharika wa mbezi luisi amefiwa na baba yake mzazi huko morogoro. alikuwa ametokea tanga kumzika dada yake aliefariki wiki hii. tuungane na huyu mtumishi wa bwana ktk kipindi hiki kigumu.
 
Tumwombee ili akaingie kwenye njia iliyokuwa nyembamba lakini iliyo na uzima milele

Apumzike salama.
 
Asante kwa wana jamii wote hapa nangojea taarifa ya safari ili na mimi nikalie na wanaolia.
 
KWANINI HII IMEWEKWA CHIT-CHAT?..Ni michapo hii?...my gooosh!

Naamini huyu marehemu alipata kusikia au kusoma kitu kinachohusiana na Jamiiforums, na kwa maana hiyo ni mtu wetu sana!

Naamini pia kuwa Mungu amemwandalia makao yaliyo bora, na atampumzisha na taabu za dunia hii chungu!
RIP.
 
Back
Top Bottom