Wana jamii wote heshima mbele. mchungaji osca wa kkkt usharika wa mbezi luisi amefiwa na baba yake mzazi huko morogoro. alikuwa ametokea tanga kumzika dada yake aliefariki wiki hii. tuungane na huyu mtumishi wa bwana ktk kipindi hiki kigumu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.