Waungwana,
Nachukua nafasi hii kuwataarifu msiba mkubwa uliomfika mwenzetu, Woman of substance, wa kufiwa na Baba yake mpendwa. Mwenyezi Mungu aiweke roho ya marehemu mahali pema peponi~AMEN na pia awape nguvu, subira na faraja wafiwa katika kipindi hiki kigumu kwao. Pole sana kwa msiba mkubwa WOS.