Hahah watz ni noma sanaukiiangalia sana hii picha ya cargo air port huyu mke wa mengi amezungukwa na wanyarwanda kila aliyekuwa karibu nae kuna mdada mkaka na wengine sijui walinzi wote pua ndefu
Hasa mijiongozi yankiafrika inaiba hadi inasahau kuna kufaApumzike kwa amani pale alipojichagulia wakati wa uhai wakeView attachment 1089968
Nafikiri macho yako yanaongozwa na fikra zako.ukiiangalia sana hii picha ya cargo air port huyu mke wa mengi amezungukwa na wanyarwanda kila aliyekuwa karibu nae kuna mdada mkaka na wengine sijui walinzi wote pua ndefu
Kama wangetaka wasingeweza kusafirisha kwa ndege ya kukodi? Ni Uamuzi tu.Apumzike kwa amani pale alipojichagulia wakati wa uhai wakeView attachment 1089968
Hapa ndipo utazijua akili za mwafrika ngozi nyeusi.Ni mwendo wa kuogelea kwa hisia tu.ukiiangalia sana hii picha ya cargo air port huyu mke wa mengi amezungukwa na wanyarwanda kila aliyekuwa karibu nae kuna mdada mkaka na wengine sijui walinzi wote pua ndefu
Hizi fikra mbovu sana hivi hao wanyarwanda wa nini? Kikubw nimeishi kigali 5yrs na nusu kitu wanaji'proud nikwamba watz tunawahofia... And on my side i know them they are too weakukiiangalia sana hii picha ya cargo air port huyu mke wa mengi amezungukwa na wanyarwanda kila aliyekuwa karibu nae kuna mdada mkaka na wengine sijui walinzi wote pua ndefu
upande wa Kulia pichani ni Benjamin Mengi mdogo wa Mzee Mengi kushoto ni Felix Mosha rafiki wa karibu wa Mzee Mengi
Tulia mkuu, huo ndio ubinadamu, kuzaliwa, kuoa/kuolewa na kufa. Tupo kwenye mstari wa kufuata kifo na tambua ukifa basi huna mamlaka juu ya mwili wako.Apumzike kwa amani pale alipojichagulia wakati wa uhai wakeView attachment 1089968