Ooooh, no!
Basi, Kazi ya Mungu haina makosa. I hope he has in heaven the peace and health he could not have in this world. Kwa wote walio mchangia, na Afrodenzi who put her effort kumsaidia na upasuwaji, congratulations for the efforts. Walifanya wanacho weza, ila Mungu alikua na mipango mengina ya namna atamsaidia huyo kijana kupona tabu yake. May he rest in peace.
Ameen
Indeed, ni taarifa ya Huzuni sana...Mara nyingi taarifa hizi zinatukumbusha mambo mengi ya huzuni yaliyopita.. RIP Abas..
Kwa upande wa pili nimefarijika sana kwa Moyo wa Upendo mlionyesha JF members.. AfroDenzi, Blacki Woman etc..Hakika Mungu yupo pamoja nanyi na amesikia Uchungu na kilio cha Mioyo yenu..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.